Mwambie rafiki yako aache ujinga...vya utamu vimezaliwa vingi na amshukuru jose kwa kumpa fundisho kuwa wanawake wa kwako ukiwa unamgegeda akitoka nje wakina jose wanajiokotea tuu.Inauma sana kumuona yule unayempenda akitoa penzi kwa mwengine hasa akiwa adui yako, Nazungumzia unayempenda kweli kweli sio hawa ambao tupo nao ilimradi tu.
Basi kuna kisa kimempata rafiki yangu, Kwa sasa ana stress nyingi mno, Kaachiwajeraha kubwa sana moyoni, hata kula ni shida, hana furaha, ni mtu wa masikitiko tu.
Ipo hivi rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaitwa Jose, Kuna fremu rafiki yangu aliipenda ila hii fremu ilikuwa inatumika na Jose ila huyu Jose alikuwa halipi kwa wakati malipo ya kodi ya frem kitu ambacho mpangaji huwa hapendi, Rafiki yangu aliipenda hio frem kwahio alitumia nguvu ya pesa kumtoa jose kwenye hio frem, Jose akajua aliemtoa hapo ni rafiki yangu na ndipo ugomvi ulipoanza, Jose alikuwa amechukia sana alivyonyanganywa frem.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu video, Video ilikuwa inaonyesha girlfriend wa rafiki yangu kalaliwa (kifo cha ***) huku jamaa anampa mikito, Sura ya Mwanaume ilikuwa haionekani maana alikuwa anaangalia pembeni, Ule mwili ukiucheki fasta tu unagundua ni jose kulingana na rangi ya ngozi na umbo.
Haikuishia hapo ila hio video ilitumwa pamoja na message za kumtukana na kumdhihaki rafiki yangu zikiashiria kimafufumbo kwamba ni kisasi cha ile Fremu.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Baeleze ...kidume unatakiwa kuwa na warembo angalau wasipungue watatu kwa wakati mmoja.Limbwata kapewa huyo huwezi kupenda demu usie mjua hivo. Tena ananyanduliwa.
Walipie na nauli ya Taxi. Guest Wakanyanduane vuzuri wakimaliza wewe una hela. Yaaani una lilia ukmwi? Mateso? Shukuru huyo umemjua alivo unalilia utoko?
Tatizo la kuwa na kademu kamoja ndo hili.wenzako dem akikupiga chini kesho una mkali kuliko yeye tena anakula kinge tu.
Na mapenzi yalivo yakijinga hawatadumu ktk hali hiyo. Navoandika hapa wanaanza jilaumu sana kwa utoporoMwambie rafiki yako aache ujinga...vya utamu vimezaliwa vingi na amshukuru jose kwa kumpa fundisho kuwa wanawake wa kwako ukiwa unamgegeda akitoka nje wakina jose wanajiokotea tuu.
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
sasa wewe unachotaka ni nini hasa? Rafiki yako aendelee na huyo demu? Au amuache? Maana wadau washakuambia kuwa huyu demu ni bomu la nyuklia ww huelewi. Jambo la msingi mwambie jamaa amsamehe tu kwani kutenda kosa siyo kurudia kosa.Asante sana kwa kuelewa mkuu, Yani watu humu ndani inaelekea wao wanaishi na wanawake kwajili ya kujipooza miili tu ndio maana kwao kuachana si kitu,
Jamani kuna wanawake sio kwajili ya mechi tu, Mwanamke unakuwa na malengo nae makubwa sana awe msaada katika life yako huyu sio rahisi tu kumuacha bila kuumia,
nitumie PM mwanangu hata kama muamala utahitajika nakurekebishiadah yani hyo vdeo nmetoka kuiona sna hata nusu saa sema nmetoka kutumikia ban mda si mrefu ningeishusha humu kwa jins alivyokuwa anapelekewa miti na jamaa dah mshkaji anahaki asile hata mwez
Hilo ni kosa la Jinai,kusambaza picha za utupu mtandaoni.aliyeathirika sana zaidi kwenye huo ugomvi ni huyo mwanamke.Inauma sana kumuona yule unayempenda akitoa penzi kwa mwengine hasa akiwa adui yako, nazungumzia unaempenda kweli kweli sio hawa ambao tupo nao ilimradi tu.
Basi kuna kisa kimempata rafiki yangu, Kwa sasa ana stress nyingi mno, Kaachiwa jeraha kubwa sana moyoni, hata kula ni shida, hana furaha, ni mtu wa masikitiko tu.
Ipo hivi rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaitwa Jose, kuna fremu rafiki yangu aliipenda ila hii fremu ilikuwa inatumika na Jose ila huyu Jose alikuwa halipi kwa wakati malipo ya kodi ya fremu kitu ambacho mpangaji huwa hapendi, Rafiki yangu aliipenda hio fremu kwahiyo alitumia nguvu ya pesa kumtoa Jose kwenye hio frem, Jose akajua aliemtoa hapo ni rafiki yangu na ndipo ugomvi ulipoanza, Jose alikuwa amechukia sana alivyonyanganywa frem.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia demu wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa Jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu video, Video ilikuwa inaonyesha girlfriend wa rafiki yangu kalaliwa (kifo cha ***) huku jamaa anampa mikito, Sura ya Mwanaume ilikuwa haionekani maana alikuwa anaangalia pembeni, Ule mwili ukiucheki fasta tu unagundua ni Jose kulingana na rangi ya ngozi na umbo.
Haikuishia hapo ila hio video ilitumwa pamoja na message za kumtukana na kumdhihaki rafiki yangu zikiashiria kimafufumbo kwamba ni kisasi cha ile Fremu.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyommega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona umegoma kabisa mkuuUmelaliwa na kugongwa wewe sio mimi!
HAPAna shida ni video maana bila video jamaa asingejua na ingekua kamchezo ka kimyakimya huku wanamuenjoy jamaa!Sasa kwani shida ni Jose!?
Hem muacheni Jose wa watu.
Inauma sana kumuona yule unayempenda akitoa penzi kwa mwengine hasa akiwa adui yako, nazungumzia unaempenda kweli kweli sio hawa ambao tupo nao ilimradi tu.
Basi kuna kisa kimempata rafiki yangu, Kwa sasa ana stress nyingi mno, Kaachiwa jeraha kubwa sana moyoni, hata kula ni shida, hana furaha, ni mtu wa masikitiko tu.
Ipo hivi rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaitwa Jose, kuna fremu rafiki yangu aliipenda ila hii fremu ilikuwa inatumika na Jose ila huyu Jose alikuwa halipi kwa wakati malipo ya kodi ya fremu kitu ambacho mpangaji huwa hapendi, Rafiki yangu aliipenda hio fremu kwahiyo alitumia nguvu ya pesa kumtoa Jose kwenye hio frem, Jose akajua aliemtoa hapo ni rafiki yangu na ndipo ugomvi ulipoanza, Jose alikuwa amechukia sana alivyonyanganywa frem.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia demu wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa Jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu video, Video ilikuwa inaonyesha girlfriend wa rafiki yangu kalaliwa (kifo cha ***) huku jamaa anampa mikito, Sura ya Mwanaume ilikuwa haionekani maana alikuwa anaangalia pembeni, Ule mwili ukiucheki fasta tu unagundua ni Jose kulingana na rangi ya ngozi na umbo.
Haikuishia hapo ila hio video ilitumwa pamoja na message za kumtukana na kumdhihaki rafiki yangu zikiashiria kimafufumbo kwamba ni kisasi cha ile Fremu.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyommega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Hapana shida ni character wa video.HAPAna shida ni video maana bila video jamaa asingejua na ingekua kamchezo ka kimyakimya huku wanamuenjoy jamaa!
Jose inabidi ashukuriwe kwa kumuasha jamaa afahamu aina ya mwanamke wake