The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Itakua hakuambiwa huko kwenye ibada kua Mke bora hutoka kwa bwana,Sijui anatuchukuliaje, akazane na maom
Sasa yeye anataka mke atoke JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua hakuambiwa huko kwenye ibada kua Mke bora hutoka kwa bwana,Sijui anatuchukuliaje, akazane na maom
Nilimaanisha mkeNa hapo kwenye make ulimaanisha nini pia? Utaweza kutunza mke kweli wewe ikiwa heading ya kutafuta mke tu makosa kibao! Huna umakini.
Mwinjilist anatafuta mke mtandaoni?mbona kama hiyo taarifa ina mashaka.Isije ikawa kuna aina ya utapeli wa kingono unaandaliwa hapaRafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754
nimuunganishe na muhusika.
Asante
mwinjilisti ako na pesa??Mama Mwana mmefikiwa huku leo
Pesa za kumwaga wanakondoo wanaileta Sadaka,mwinjilisti ako na pesa??
unanishaurije nijiweke au nijikatePesa za kumwaga wanakondoo wanaileta Sadaka,
Huyo bwana kwani jf hayupo jamaniItakua hakuambiwa huko kwenye ibada kua Mke bora hutoka kwa bwana,
Sasa yeye anataka mke atoke JF
Hata kama anafanya kazi mutually!maana ninae hapa pembeni,ni mzuuri kwa kweliyangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754
nimuunganishe na muhusika.
Dah je wa 1989 hafai auRafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754
nimuunganishe na muhusika.
Asante
Inasikitisha sana kama nchi tumefikia hatua hii. Nina wasiwasi na huo uinjilisti bila shaka ni uinjilisti uchwaraRafiki yangu ni Mwinjilisti WA KKKT anahitaji mchumba /mke aliezaliwa 1983-1988 anipigie namba 0755 144 754
nimuunganishe na muhusika.
Asante