Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Habari zenu wote humu ndani?
Kisa kipo hivi Rafiki angu anasimulia kwamba alikuja jamaa kibandani kwake akasema kwamba kuna mtu wake anataka kumtumia hela ila hana simu ila ana namba ya jamaa kichwani, na pia ni namba ya voda.
Rafiki angu huyo akamwambia chukua namba yangu hii ya Wakala (zile code zao za kuweka na kutoa) mtumie huyo ndugu yako na jina ninalotumia hapa ili atume hapo jamaa, "sawa"
Kawasiliana kupitia simu ya rafiki angu hiyo ya Uwakala karudisha kamwambia atatuma chap, mara mlio wa sms kwenye simu ya Rafiki yangu" umepokea laki moja na tisini, kaihakikisha kila kitu jina na namba na salio limeongezeka kweli, katoa hela kampa jamaa huyo kasepa,
Kimbembe kinakuja kesho kaweka kama laki moja hivi ya flot ila akashangaa imekatwa, kupiga makao makuu na kuwaelezea imekuwaje? Wanasema kwamba kuna mtu alituma hela kwenye namba yako ila ali cancel muamala kwenye menu ya M-pesa ndo tumeirudisha kwake baada ya masaa 24 rafiki aaah😳 ndo kawaelezea kila kitu jinsi ilivyokuwa ila mpaka leo Ni majibu yao ni subiri subiri tatizo tunashughulikia,
Na rafiki anakatwa mshahara kidogo kidogo na mwajili wake mwenye kibanda.
Swali!: Je, ata kwenye Code za wakala mtu anaweza tuma pesa harafu akaizuia huku wakala asijue wala kuletewa sms kwamba muamala umezuiwa kutoka namba flani ili kuepuka uhuni wa namna hii?
Kisa kipo hivi Rafiki angu anasimulia kwamba alikuja jamaa kibandani kwake akasema kwamba kuna mtu wake anataka kumtumia hela ila hana simu ila ana namba ya jamaa kichwani, na pia ni namba ya voda.
Rafiki angu huyo akamwambia chukua namba yangu hii ya Wakala (zile code zao za kuweka na kutoa) mtumie huyo ndugu yako na jina ninalotumia hapa ili atume hapo jamaa, "sawa"
Kawasiliana kupitia simu ya rafiki angu hiyo ya Uwakala karudisha kamwambia atatuma chap, mara mlio wa sms kwenye simu ya Rafiki yangu" umepokea laki moja na tisini, kaihakikisha kila kitu jina na namba na salio limeongezeka kweli, katoa hela kampa jamaa huyo kasepa,
Kimbembe kinakuja kesho kaweka kama laki moja hivi ya flot ila akashangaa imekatwa, kupiga makao makuu na kuwaelezea imekuwaje? Wanasema kwamba kuna mtu alituma hela kwenye namba yako ila ali cancel muamala kwenye menu ya M-pesa ndo tumeirudisha kwake baada ya masaa 24 rafiki aaah😳 ndo kawaelezea kila kitu jinsi ilivyokuwa ila mpaka leo Ni majibu yao ni subiri subiri tatizo tunashughulikia,
Na rafiki anakatwa mshahara kidogo kidogo na mwajili wake mwenye kibanda.
Swali!: Je, ata kwenye Code za wakala mtu anaweza tuma pesa harafu akaizuia huku wakala asijue wala kuletewa sms kwamba muamala umezuiwa kutoka namba flani ili kuepuka uhuni wa namna hii?