Rafiki yangu ni Wakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu ila katapeliwa kwa njia hii

Rafiki yangu ni Wakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu ila katapeliwa kwa njia hii

Sio kweli.

Kutoa kwa wakala hakuna cancellation, cancellation ni kwa kumtumia mtu kimakosa na sio kutoa kwa wakala.

Rafiki yako amekudanganya.
Kilichofanyika ni yule wakala kuwapigia simu Wenyewe ( Mpesa, Tigopesa et al ) na kuwaambia kwamba alikosea muamala.

Wakicheki ni kweli alituma, wanarudisha pesa.

Huo wizi upo sana na umeshajadiliwa sana humu.
 
Hapo wala tusipepese macho voda au mitandao ya simu yenye utaratibu huu ni matapeli tu, Mimi kama Wakala siwezi kuwa nashikana mashati na wateja kunyang'anyana simu kuangalia kama kweli katoa pesa, kwanza suala la kumuomba kila mteja simu uangalie kama muamala kufanya yeye kweli ni gumu sana na ni ushamba!!!


Hapa mchawi ni mtandao wa simu wanatakiwa aidha wazuie miamala ya mbali (Japo baadhi yetu ni msaada kutuma chochote kule Kijijini) au pesa zisiwe zinarudi ili wateja wawe makini kwanza kabla ya kutoa kuna option ya kuhakiki jina
 
Ela ukishatoa kupitia code ya wakala ukiwapigia voda wa cancel au umekosea lazima voda wa mpigie wakala mwenyewe code husika Ku hakiki then ndio wanarudsha mi ni wakala kuna jamaa alikosea akatoa kwangu na ayupo hapo akawapigia voda na voda wakapga kwangu kuhakiki kama ni kweli kakosea au anafanya ujanja
Yeah, hivyo ndivyo inapaswa kuwa, hata kama aliyetoa yupo Sayari ya Mars, lazima wajiridhishe!!!!
 
Habari zenu wote humu ndani?

Kisa kipo hivi Rafiki angu anasimulia kwamba alikuja jamaa kibandani kwake akasema kwamba kuna mtu wake anataka kumtumia hela ila hana simu ila ana namba ya jamaa kichwani, na pia ni namba ya voda.

Rafiki angu huyo akamwambia chukua namba yangu hii ya Wakala (zile code zao za kuweka na kutoa) mtumie huyo ndugu yako na jina ninalotumia hapa ili atume hapo jamaa, "sawa"

Kawasiliana kupitia simu ya rafiki angu hiyo ya Uwakala karudisha kamwambia atatuma chap, mara mlio wa sms kwenye simu ya Rafiki yangu" umepokea laki moja na tisini, kaihakikisha kila kitu jina na namba na salio limeongezeka kweli, katoa hela kampa jamaa huyo kasepa,

Kimbembe kinakuja kesho kaweka kama laki moja hivi ya flot ila akashangaa imekatwa, kupiga makao makuu na kuwaelezea imekuwaje? Wanasema kwamba kuna mtu alituma hela kwenye namba yako ila ali cancel muamala kwenye menu ya M-pesa ndo tumeirudisha kwake baada ya masaa 24 rafiki aaah[emoji15] ndo kawaelezea kila kitu jinsi ilivyokuwa ila mpaka leo Ni majibu yao ni subiri subiri tatizo tunashughulikia,

Na rafiki anakatwa mshahara kidogo kidogo na mwajili wake mwenye kibanda.

Swali!: Je, ata kwenye Code za wakala mtu anaweza tuma pesa harafu akaizuia huku wakala asijue wala kuletewa sms kwamba muamala umezuiwa kutoka namba flani ili kuepuka uhuni wa namna hii?
Mimi ni wakala mwaka wa kumi sasa,,,hii kitu hakuna mzee,,ipo hivi makampuni ya Simu yanamlinda wakala kwa 100%

Inapotokea mteja kafanya muamala kimakosa wa kiwango hata cha 1,000 akapiga simu kuwa kakosea mtandao huwa wanakupigia simu kukuuliza watakueleza mteja flani anasema katoa pesa kwako kimakosa sh kadhaa Je ulimuhudumia ukisema ndio wanarudi kumpigia mteja na kumshauri aende Polisi,,kama hukumuhudumia ndo wanairudisha tena kwa sasa hivi mfano Voda wewe wakala ndo unapiga menu yao unairudisha mwenyewe....Haijawahi tokea Hela itoke kwa wakala kimakosa irudi bila wakala kuthibitisha


Story ya kutunga hii wambane huyo dogo aeleze alichofanya
 
Mimi ni wakala mwaka wa kumi sasa,,,hii kitu hakuna mzee,,ipo hivi makampuni ya Simu yanamlinda wakala kwa 100%

Inapotokea mteja kafanya muamala kimakosa wa kiwango hata cha 1,000 akapiga simu kuwa kakosea mtandao huwa wanakupigia simu kukuuliza watakueleza mteja flani anasema katoa pesa kwako kimakosa sh kadhaa Je ulimuhudumia ukisema ndio wanarudi kumpigia mteja na kumshauri aende Polisi,,kama hukumuhudumia ndo wanairudisha tena kwa sasa hivi mfano Voda wewe wakala ndo unapiga menu yao unairudisha mwenyewe....Haijawahi tokea Hela itoke kwa wakala kimakosa irudi bila wakala kuthibitisha


Story ya kutunga hii wambane huyo dogo aeleze alichofanya
Kweli kabisa
 
Mimi ni wakala mwaka wa kumi sasa,,,hii kitu hakuna mzee,,ipo hivi makampuni ya Simu yanamlinda wakala kwa 100%

Inapotokea mteja kafanya muamala kimakosa wa kiwango hata cha 1,000 akapiga simu kuwa kakosea mtandao huwa wanakupigia simu kukuuliza watakueleza mteja flani anasema katoa pesa kwako kimakosa sh kadhaa Je ulimuhudumia ukisema ndio wanarudi kumpigia mteja na kumshauri aende Polisi,,kama hukumuhudumia ndo wanairudisha tena kwa sasa hivi mfano Voda wewe wakala ndo unapiga menu yao unairudisha mwenyewe....Haijawahi tokea Hela itoke kwa wakala kimakosa irudi bila wakala kuthibitisha


Story ya kutunga hii wambane huyo dogo aeleze alichofanya
Ulichoongea ni sawa lakn siku hz utaratib umebadilika, wanarudisha miamala ya Wateja bila hata kukupigia

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Transaction za mbali kivipi? Wakati pesa inaweza kutumwa kutoka eneo lolote. Mimi niko Dar, anayenitumia pesa yuko Mara labda, nikaomba code ya wakala aliyeko Dar. Hapo tatizo nn, mpk useme transaction za mbali?
Hapa pesa haijatumwa bali imetolewa kwa wakala ila aliyeitoa hakuwepo hapo physically,mfano rahisi ni wewe upo Mwanza nduguyo wa Dar anakutumia namba ya wakala wa Dar ili umtumie pesa direct km vile unaitoa,ile pesa ikiingia wakala anakupa baada ya wewe kuondoka ndg yako anapiga simu Voda kulalamika kwamba amekosea namba ya Wakala wakati anatoa Pesa wao wanapo angalia locations zao wanakuta kweli yeye yuko Mwanza na wakala aliyetumiwa pesa ya kutoa yuko Dar, basi ndani ya saa 24 wanarudisha hiyo pesa kutoka kwenye account ya Wakala na utapeli unakuwa umekamilika.
 
KUNA KITU KINAITWA "VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA".

KANUNI ZA HUDUMA ZA FEDHA ZA AWALI:
1.UKITOA/KUWEKA UNAJAZA KITABU "LOG BOOK"
2.UWE NA KITAMBULISHO
3.NK NK

UKIKIUKA MASHARTI, HASARA YOYOTE NENDA KWENYE MAOMBI KATAFUTE FARAJA HUKO AU TAFUTA WACHAWI
 
Hapa pesa haijatumwa bali imetolewa kwa wakala ila aliyeitoa hakuwepo hapo physically,mfano rahisi ni wewe upo Mwanza nduguyo wa Dar anakutumia namba ya wakala wa Dar ili umtumie pesa direct km vile unaitoa,ile pesa ikiingia wakala anakupa baada ya wewe kuondoka ndg yako anapiga simu Voda kulalamika kwamba amekosea namba ya Wakala wakati anatoa Pesa wao wanapo angalia locations zao wanakuta kweli yeye yuko Mwanza na wakala aliyetumiwa pesa ya kutoa yuko Dar, basi ndani ya saa 24 wanarudisha hiyo pesa kutoka kwenye account ya Wakala na utapeli unakuwa umekamilika.
Wakala analindwa kuliko unavoandika hapa,,Mimi nina uzoefu ndo kazi yangu,,hela inapotelewa kimakosa voda wanapokwambia subiri masaa 72 ni kwamba wanafanya mawasiliano na wakala,,kwanza watapiga simu wakala usipopokea watakutumia sms kukuelekeza kuna muamala umeripotiwa kama kweli hujumuhudumia mteja kwa zamani ilikuwa wanarudisha wenyewe ila kwa sasa hivi Watakwambia wakala kama ni Mpesa upige menu ya mpesa utachagua namba sita MIAMALA ILIYOTOLEWA KIMAKOSA UTAINGIZA RISITI NAMBA utasibitisha hela itarudi na kama wakala utasema nilimuhudumia mteja hata kama hukumuhudumia kinachofata ni watamwambia mteja achukue hatua za kisheria aende polisi na Voda watatoa ushirikiano wa kuwapa location ulipo,,,mfano katika kazi yangu hii imeshanitokea mara kadhaa jamaa wanatoa kimakosa hata siwajui na napigiwa nawapa ushirikiano wanarudisha,,kuna siku kuna jamaa alitoa kiasi kama 260k akaondoka kesho yake nikakuta mised call ya huduma kwa wateja mara wakatuma sms nipokee simu kwa ajili ya kutoa ushirikiano wa muamala ulotolewa kimakosa,,walivopiga kupokea wakaniuliza na uzuri nilikuwa nakumbuka nikawaambia nimemuhudumia wakashukuru kwa ushirikiano na wakanambia watampigia na kumtumia sms ya Onyo.....

NIHITIMISHE kwa Kusema

Hakuna uwezekano wa mteja kurudishiaa fedha bila wakala kuthibitisha
 
Unapotuma pesa kwa code ya wakala maana yake ni kwamba pesa umeitoa, na si kwamba umetuma, hivyo huwezi kurudishiwa pesa amabyo umeshachukua cash physically, hiyo haiwezekani, waliofanya huo utapeli ni hao hao voda, otherwise hata mimi si naweza kwenda kwenye kibamda chochote, nikatoa hela napewa cash then nasepa na kucancel muamala, matapeli ni hao voda, akomae nao.
Jamaa yupo sahihi ni kwamba mtu anapotoa pesa wakala ahakikishe yule mtu ndiye yeye aliyopo mbele yake ikiwezekana akague msg ya mhusika na kudai kitambulisho.ni hivi wakati ukiwa unatoa pesa kwa wakala minara inatakiwa isome sehem moja ili mhusika akitaka kucancel ashindwe.ndio maana mawakala wazoefu hawakupi code umtumie mtu mwingine aliye mbali na biashara yake labda awe anakujua
 
Jamaa yupo sahihi ni kwamba mtu anapotoa pesa wakala ahakikishe yule mtu ndiye yeye aliyopo mbele yake ikiwezekana akague msg ya mhusika na kudai kitambulisho.ni hivi wakati ukiwa unatoa pesa kwa wakala minara inatakiwa isome sehem moja ili mhusika akitaka kucancel ashindwe.ndio maana mawakala wazoefu hawakupi code umtumie mtu mwingine aliye mbali na biashara yake labda awe anakujua
Hiyo kazi ya kukagua simu ya kila mteja ni impractical, ni kwanini voda wasipige simu kwa wakala kuiliza? Huo ni utapeli
 
Hapo voda ndio wenye makosa
Hakuna uzembe mtoa mada kadanganywa nae kakubali, muamala ukirudishwa yule aliyerudishiwa hawezi kuutoa hadi wakala apigiwe kuhakikisha, pili walishaambiwa anaetoa na kuwekewa pesa lazima awe dukani,
 
siku zote tafrani kama hiyo ikitokea kinachoangaliwa hapo ni location

jamaa alifanya kosa kumpa code mtu aliyeko mbali na ofisi yake atoe pesa, kwasababu huyo mtu akipiga simu kuisitisha hiyo pesa basi wahudumu kwa wateja ni rahisi kuizuia pasipo hata kufanya mawasiliano na wewe uliye pokea kwakua distance inaonesha huyo mteja hakua ofisin kwako probably ni mkoa tofauti na wako
Hata kama mkoa tofauti hela ikirudi kwa mteja lazima wakala apigiwe simu kwanza,
 
Kiukweli inatakiwa voda waweke mfumo wa kutoruhusu miamala ya mbali automatically ili kuwalinda mawakala.
Otherwise tutaendelea kupigwa.
Ni kweli mkuu utapeli utaendelea kama voda na mitandao mingine haijafanya hatua ya kuthibiti mianya ya udukuzi.
 
Kwa maelezo haya nimeridhika kuwa kuna fairness kwa mawakala, kuna watu huko juu wanatoa maelezo kuonesha kuwa wakala unaweza kupigwa anytime, yaani ningeshangaa sana na kampuni za simu zingekuwa za ajabu mtu anacancel muamala bila kuwasiliana na wakala warudishe tu.
Wakala analindwa kuliko unavoandika hapa,,Mimi nina uzoefu ndo kazi yangu,,hela inapotelewa kimakosa voda wanapokwambia subiri masaa 72 ni kwamba wanafanya mawasiliano na wakala,,kwanza watapiga simu wakala usipopokea watakutumia sms kukuelekeza kuna muamala umeripotiwa kama kweli hujumuhudumia mteja kwa zamani ilikuwa wanarudisha wenyewe ila kwa sasa hivi Watakwambia wakala kama ni Mpesa upige menu ya mpesa utachagua namba sita MIAMALA ILIYOTOLEWA KIMAKOSA UTAINGIZA RISITI NAMBA utasibitisha hela itarudi na kama wakala utasema nilimuhudumia mteja hata kama hukumuhudumia kinachofata ni watamwambia mteja achukue hatua za kisheria aende polisi na Voda watatoa ushirikiano wa kuwapa location ulipo,,,mfano katika kazi yangu hii imeshanitokea mara kadhaa jamaa wanatoa kimakosa hata siwajui na napigiwa nawapa ushirikiano wanarudisha,,kuna siku kuna jamaa alitoa kiasi kama 260k akaondoka kesho yake nikakuta mised call ya huduma kwa wateja mara wakatuma sms nipokee simu kwa ajili ya kutoa ushirikiano wa muamala ulotolewa kimakosa,,walivopiga kupokea wakaniuliza na uzuri nilikuwa nakumbuka nikawaambia nimemuhudumia wakashukuru kwa ushirikiano na wakanambia watampigia na kumtumia sms ya Onyo.....

NIHITIMISHE kwa Kusema

Hakuna uwezekano wa mteja kurudishiaa fedha bila wakala kuthibitisha
Mimi ni wakala mwaka wa kumi sasa,,,hii kitu hakuna mzee,,ipo hivi makampuni ya Simu yanamlinda wakala kwa 100%

Inapotokea mteja kafanya muamala kimakosa wa kiwango hata cha 1,000 akapiga simu kuwa kakosea mtandao huwa wanakupigia simu kukuuliza watakueleza mteja flani anasema katoa pesa kwako kimakosa sh kadhaa Je ulimuhudumia ukisema ndio wanarudi kumpigia mteja na kumshauri aende Polisi,,kama hukumuhudumia ndo wanairudisha tena kwa sasa hivi mfano Voda wewe wakala ndo unapiga menu yao unairudisha mwenyewe....Haijawahi tokea Hela itoke kwa wakala kimakosa irudi bila wakala kuthibitisha


Story ya kutunga hii wambane huyo dogo aeleze alichofanya
 
siku zote tafrani kama hiyo ikitokea kinachoangaliwa hapo ni location

jamaa alifanya kosa kumpa code mtu aliyeko mbali na ofisi yake atoe pesa, kwasababu huyo mtu akipiga simu kuisitisha hiyo pesa basi wahudumu kwa wateja ni rahisi kuizuia pasipo hata kufanya mawasiliano na wewe uliye pokea kwakua distance inaonesha huyo mteja hakua ofisin kwako probably ni mkoa tofauti na wako
Umemaliza mkuu na huo ndo ukweli wenyewe
 
Back
Top Bottom