Rafiki yangu wa kike ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?

Rafiki yangu wa kike ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2017
Posts
415
Reaction score
361
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki. Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?

Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
 
Angalia vizuri kuna ujumbe wenye address yangu uniletee hiyo zawadi
 
Apo unawaza ngono tu wakati rafikio kakuona kwenye kwaya unafit. Ila kwakuwa tushazoea zawadi n mpaka zihusiane na hisia za kimapenz waza tu hivyo
 
Muulize utavaa shati bila suruali?
Maana kaona huna haja ya kujisitiri huko chini.
 
Back
Top Bottom