Rafiki yangu wa kike ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?

Rafiki yangu wa kike ameniletea zawadi ya shati na tai hii ina maana gani?

Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.

Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Maana yake, be a gentleman. Anakuona una utoto utoto mwingi
 
Maana yake nawe umpelekee gagulo, chupi na sidiria/bra kama zawadi.
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.

Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
 
Unavaa kama jangili ..
Anapenda rafiki yake awake,, acha kuvaa kama mjomba kutoka njombe mkuu Weka pamba ueleweke
 
Ndugu zangu nimebaki nimedua sielewi kwanini hili limetokea kipindi hiki.
Rafiki yangu wa kike wa muda mrefu sana ameniletea zawadi ya shati na tai hii inamaana gani.

Wajuvi wa mambo naomba mkuje hapa mweleze nini maana yake.
Akili za kibongo utaona anakutongoza hapana. Kakuona upo rafu haujipendi.. hiyo ni meseji send.. Nadhani nimeeleweka kijana kuwa msafi. R.I.P JPM
 
Picture Iko Wapi Sasa Hivi
Tunajadili Maandishi
😇🙄😶😑😐
 
Back
Top Bottom