EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Ticha? Unapata vivuri tu kama una mtu wa kukusaidia. (TIP, "usimpe mtu sim yako kama humjui aweke chip yake")Kwa zamani sawa ila kwa sasa hata uwe na nini hupati simu ng'oo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ticha? Unapata vivuri tu kama una mtu wa kukusaidia. (TIP, "usimpe mtu sim yako kama humjui aweke chip yake")Kwa zamani sawa ila kwa sasa hata uwe na nini hupati simu ng'oo
Mi Wife wangu alipigwa hapohapo fire,lakini nilimlaumu sana maana siku zote kabla ya kupanda Mwendokasi au Daladala, handbag yake iweke mbele,lakini aliniipuuza na kweli wajanja wakapita na kasimu kake ka bei ghali kisa wakati anapanda Mwendokasi kabag alikatupia mgongoni na watu waka jisevia! Ila hadi leo ana elimu Kama ya degree ya kupanda Mwendokasi,humuibi hata sindano Sasa!!!Kabisa hapo fire alishawahi ibiwa ex-sister duh kama unavyosema alitoka Gerezan
Utakua unamuonea, Sasa yeye atajuwaje kua hiyo simu ni ya wizi na umeibiwa wwe!!!??Nikiibiwa simu sihangaiki, maana najua nitamdaka mjinga atayeinunua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni demu wake, hapo anaogopa kuingia gharana ya kununua i4n mpyaa, anataka waitafute ya zaman.
Weng wanaomilik iphon ni masikin wakutupwa kuliko Alf madon ndiyo wanamiliki tecno na infinix
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan uongo dea?[emoji23][emoji23][emoji23]