Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wavulana mnavaa boksa wanaume tunavaa ChupiWe ni me au ke ,
Kama ni ME basi utakuwa shoga maana wanaume sikuizi atuvai chupi tunavaa boksa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah!! [emoji848][emoji848]
Sasa ukivaa kama pensi yale mazaga zaga unayazuiaje yasichungulie nje?
😂😂😂 Best ujue ni nini nilikosa neno kila nililofikiria niliona halina tafsida.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ebu acha kuyashushia heshima mapumbu best et mazagazaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Stop beating around the bush, me or ke?Wewe nahisi unao marafiki ambao wanavaa viatu bila soks na unawajua,so MTU akiwa hajavaa chupi hata akikaa utajua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Evacuate, Evacuate.I repeat, one man down.
Mission imefail 😆😆Evacuate, Evacuate.
Bila picha huu ni utapeli tu kama utapeli mwingineNina baadhi ya marafiki hunishangaa sana eti kwanini sivai nguo ya ndani ama chupi kama wengine mnavyoziita.
Mimi huwajibu kirahisi kabisa ,kuwa Mimi ni MTU huru kwa hiyo siwezi kuvaa chupi,MTU ukiwa uko huru ni lazima uwe Uhuru kwelikweli siyo wakuigiza najisikia Uhuru zaidi nikiwa sijavaa chupi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lolDaah!! [emoji848][emoji848]
Sasa ukivaa kama pensi yale mazaga zaga unayazuiaje yasichungulie nje?
Yan wwDaah!! [emoji848][emoji848]
Sasa ukivaa kama pensi yale mazaga zaga unayazuiaje yasichungulie nje?