Rafiki zangu wananishangaa kwa nini sivai nguo ya ndani

Rafiki zangu wananishangaa kwa nini sivai nguo ya ndani

Dah Kwel Mungu hana upendeleo yaani kamuacha huyu kiatu ana vuta pumzi ya bure tu wakati kuna watu walikuwa wa muhimu duniani washavuta.
 
MKUU TANGU LINI mwanamme AKIWA NA BUSHA akavaa CHUPI? MASHATI MAREFU UNAYOVAA YANATOSHA KABISA KUFICHA BUSHA ULILONALO.. sio ajabu MKUU kutovaa Chupi..ni KAWAIDA KWA HALI YAKO uliyonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina baadhi ya marafiki hunishangaa sana eti kwanini sivai nguo ya ndani ama chupi kama wengine mnavyoziita.

Mimi huwajibu kirahisi kabisa ,kuwa Mimi ni MTU huru kwa hiyo siwezi kuvaa chupi,MTU ukiwa uko huru ni lazima uwe Uhuru kwelikweli siyo wakuigiza najisikia Uhuru zaidi nikiwa sijavaa chupi

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila picha huu ni utapeli tu kama utapeli mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hilo suala lako binafsi unalileta huku, kwa kweli hata humu naona wameshangaa, inaonekana una katabia kama ka rafiki yangu mmoja sema yeye anavaa chupi/boxer, yani anapenda kujishika maeneo ya kende zake na kunusa anasema anaipenda harufu anayoitoa😃😃😃.Naskia ni kaugonjwa ka kisaikolojia.
Tuanzia hapo kwenye "mtu huru" yani hautaki kubanwa, tufafanulie juu ya uhuru unaopata kwa kutovaa nguo ya ndani,je huwa unapenda kufanya nini ukiwa idle na hauna nguo ya ndani?
 
Back
Top Bottom