Rage apewe PhD ya heshima

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.

Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.

Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.
 
Yaani ma Mbumbumbu wa ajabu sana, Mazembe alisha mtandika mtu goli 3 wao kumfunga mtu goli Moja la ugoko wanajiona wapo juu. Wakati Mazembe ana watandika Kila wanapokutana[emoji1][emoji1]
 
Rage alishawalaani hao mbumbumbu, angalia kwanza mpira wanaocheza ni utumbo, kisha angalia timu waliyocheza nayo safu yao ya ushambuliaji ni majanga, wale vipers wangeongeza ufanisi kidogo tu kwenye eneo lao la mwisho vijana wa mangungu wasingepata alama ata moja pale uganda,
 
Sasa,umekutana au umemuona mtu mmoja au wawili wakicheka kuhusu Englebert ndiyo uwaite wengine mbumbumbu?Huo ndiyo ututusa wenyewe.
 
Kweli uto nyie MAUMBWA kama alivosema luc eymael sasa waliofurahi tp mazembe kufungwa kati YA WANYONYA VIJAMBIO FC NA SIMBA NI NANI?

SIMBA HAFURAHII MAZEMBE KUFUNGWA ILA KUFUNGWA KWA MAZEMBE KUNAZIDI KUTHIBITISHA KUWA MAZEMBE YA SASA NI SAWA NA MALIMAO FC.

LUCY EYMAEL APEWE ULINZI.
 
Watu wanatoa jasho kutafuta CA ,alafu wahuni wachache wanapewa degree na phd kizembe zembe🤧🤧
 
Huna akili wewe mbumbumbu
Tp mazembe kala 2
Simba kala 3
Wote wamefungwa nyumbani. Sasa niambie nani katia aibu hapo
 
Sasa,umekutana au umemuona mtu mmoja au wawili wakicheka kuhusu Englebert ndiyo uwaite wengine mbumbumbu?Huo ndiyo ututusa wenyewe.
Ututusa ni kuchekelea tp mazembe kufungwa nyumbani wakati nyie ndio mmetia aibu kuu.
 
Wewe na huyo aliye pigwa mbili nyumbani mpo kwenye mashindano gani ?
 
Matusi kwa Wazazi yote ya nini ? mbona ukivyowaita utopwinyo "Mbwa" hawakurudisha kea wazazi wako ?

Ukishachagua kuwa mshabiki wa mpira jifunze kuthibiti hasira zako na ni ujinga wa hali ya juu na kukosa adabu mambo ya ushabiki na upuuzi wenu binafsi Kuhusisha wazazi.
 
yeye ametuita mbumbumbu mashabiki wa simba kwa kumnukuu Ismail Aden Rage na mimi nimewaita MBWA WANA UTO kwa kumnukuu LUC EYMAEL sasa kilichofanya yeye aniambie mimi sina akili ni nini?

NB: UNABUSARA ZA KINAFIKI.
 
Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuanzisha uzi wenye contents hizi. Yaani kabisa unafungua thread!?
 
yeye ametuita mbumbumbu mashabiki wa simba kwa kumnukuu Ismail Aden Rage na mimi nimewaita MBWA WANA UTO kwa kumnukuu LUC EYMAEL sasa kilichofanya yeye aniambie mimi sina akili ni nini?

NB: UNABUSARA ZA KINAFIKI.
Unajua thamani ya Wazazi ? ni simple ungemjibu kwa kumshabulia yeye mwenyewe binafsi moja kwa moja kama ulivyojibu hapo mara ya kwanza kuliko kumjumlisha mtu ambaye hausiki unakuta mwengine tokea azaliwe hajawahi kumuona Mzazi wake halafu itokee mtu anakuja kumtukana na kumdhalilisha tena kwa kumsingizia uchafu "kahaba"
 
Mkuu yeye ameanza mimi nikaamua kumaliza shida ipo wap?

KUMBUKA NAITWA Lawamakwetucheo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…