adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Ni sawa mtu kaanza kwa kuniibia simu na mimi nikamaliza kwa kuchomwa moto nyumba yake na kuua familia yake ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa mtu kaanza kwa kuniibia simu na mimi nikamaliza kwa kuchomwa moto nyumba yake na kuua familia yake ?
Yapi ??Ya kimataifa
Nimekuuliza kwanza weweItapendeza kama ilo swali utamuuliza babako mzazi.
Huna hadhi ya kupewa jibu na mimi we mbumbumbu.Nimekuuliza kwanza wewe
Kule kule mlikoshikwa uchawi.Yapi ??
Na wewe umefungua thread na ukacoment kabsa kwenye thread ya mtu asiye na akili timamu.Mtu mwenye akili timamu hawezi kuanzisha uzi wenye contents hizi. Yaani kabisa unafungua thread!?
Shida ipo kwenye kuunyofoa huo umbumbumbu wako uliokujaa kichwani.
Hiyo laana ya Rage ndiyo imefanya kazi mwaka huu?! Kweli kukeketwa ni hatari kwa afya. Au kidonda kimefumuka?!Rage alishawalaani hao mbumbumbu, angalia kwanza mpira wanaocheza ni utumbo, kisha angalia timu waliyocheza nayo safu yao ya ushambuliaji ni majanga, wale vipers wangeongeza ufanisi kidogo tu kwenye eneo lao la mwisho vijana wa mangungu wasingepata alama ata moja pale uganda,
PoleMbumbumbu kwenye ubora wako
Hayo mambo ya wange sjui wasinge...hayapo kwenye mpira . ..ok basi na nyie mngekuwa na beki mferu msigefungwa na bamakoRage alishawalaani hao mbumbumbu, angalia kwanza mpira wanaocheza ni utumbo, kisha angalia timu waliyocheza nayo safu yao ya ushambuliaji ni majanga, wale vipers wangeongeza ufanisi kidogo tu kwenye eneo lao la mwisho vijana wa mangungu wasingepata alama ata moja pale uganda,
Usichanganye mambo,nyie na wadogo wenzenu mko shirikisho usisahauHuna akili wewe mbumbumbu
Tp mazembe kala 2
Simba kala 3
Wote wamefungwa nyumbani. Sasa niambie nani katia aibu hapo
KABLA YA KUNYOFOA UMBUMBUMBU KICHWANI MWANGU INABIDI TUUNYOFOE KWANZA HUO MWIKO ULIOPO NYUMA KWAKO.Shida ipo kwenye kuunyofoa huo umbumbumbu wako uliokujaa kichwani.
Wasio na akili timamu huwa tunawafundisha, wengine huwa wanatengamaa. Wapumbavu ndio huwa tunawaacha. Wewe walau upo kundi la wasio na akili timamu, tutakuelekeza na utakaa vizuriNa wewe umefungua thread na ukacoment kabsa kwenye thread ya mtu asiye na akili timamu.
Rage apewe PHDWasio na akili timamu huwa tunawafundisha, wengine huwa wanatengamaa. Wapumbavu ndio huwa tunawaacha. Wewe walau upo kundi la wasio na akili timamu, tutakuelekeza na utakaa vizuri
#Rage apewe PhDKABLA YA KUNYOFOA UMBUMBUMBU KICHWANI MWANGU INABIDI TUUNYOFOE KWANZA HUO MWIKO ULIOPO NYUMA KWAKO.
sambamba na Luc Eymael, mzee wa manyani na mambwa! 🤣🤣 🤣Rage apewe PHD
sambamba na Luc Eymael, mzee wa manyani na mambwa!
Ulimuona nani akichekelea?Ungemwambia tu kwamba hujazoea kuona watu wakichekekea ili aache!Ututusa ni kuchekelea tp mazembe kufungwa nyumbani wakati nyie ndio mmetia aibu kuu.