Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Naunga mkono hoja kwa 💯/=Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.
Apewe tu kwa kweli. Maana ni kiongozi mwenye maono. Imagine kauli yake mpaka leo bado tu inaishi.