Naunga mkono hoja kwa 💯/=Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.
Kuna mjinga mmoja yupo kwenye hili jukwaa alinitukania mama yangu bila ya sababu za msingi!Unajua thamani ya Wazazi ? ni simple ungemjibu kwa kumshabulia yeye mwenyewe binafsi moja kwa moja kama ulivyojibu hapo mara ya kwanza kuliko kumjumlisha mtu ambaye hausiki unakuta mwengine tokea azaliwe hajawahi kumuona Mzazi wake halafu itokee mtu anakuja kumtukana na kumdhalilisha tena kwa kumsingizia uchafu "kahaba"
Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.ibu ya mwaka kwa Tz tu au Dunia nzima..? Maana Liverpool alipigwa 5 na bado haikutangazwa kama ni aibu ya mwa
Ni kweli huenda alikuwa sahihi..!!Lakini kusema kwamba ni aibu ya mwaka huenda huo ndo umbumbu zaidi au kuwa mvivu wa kufikiri..!!Maana hata Liverpool alifungwa 5 na haikuwa aibu ya mwaka..!!Aliewapa jina mbumbumbu hakukosea na nashauri ajengewe sanamu pale Msimbazi au Bunju.
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ukawacheka TP Mazembe kupigwa 2 na waarabu wakati we mwenyewe timu yako ndio ilitia aibu ya mwaka kwa kupigwa 3 kavu nyumbani.
Aliewaita mbumbumbu hakukosea kwakweli.
Hahaha.. Baada ya wote kufungwa..? Nani mwenye points kwenye kundi lake..?Huna akili wewe mbumbumbu
Tp mazembe kala 2
Simba kala 3
Wote wamefungwa nyumbani. Sasa niambie nani katia aibu hapo
Rage alifuta kauliyake ila Luc Eymael hajawahi kufuta kauli yake mpaka leo🤣🤣Aden Rage alishawahi kutoa kauli kuhusu status ya akili za mashabiki wa timu ambayo kwa kipindi hicho alikua ni mwenyekiti wao. Kauli ambayo kila siku inazidi kuthibitishika alichokisema ni kweli.
Bahati mbaya jamii yetu haithamini watu wenye maono ya mbali kama huyu jamaa.
Kwa heshima kabisa naomba kuanzia sasa huyu mtu atambulike kama Dr. Aden Rage
Vipi kuhusu wenye akili kuwa wawili tu upande ule wewe umo au haumo?.Aden Rage alishawahi kutoa kauli kuhusu status ya akili za mashabiki wa timu ambayo kwa kipindi hicho alikua ni mwenyekiti wao. Kauli ambayo kila siku inazidi kuthibitishika alichokisema ni kweli.
Bahati mbaya jamii yetu haithamini watu wenye maono ya mbali kama huyu jamaa.
Kwa heshima kabisa naomba kuanzia sasa huyu mtu atambulike kama Dr. Aden Rage
Naomba clip au video ya Luc Eymael ,halafu hiyo kauli alitioa baada ya kufurumushwa tofauti na Rage akiwa bado mwenyekiti wa klabu.Rage alifuta kauliyake ila Luc Eymael hajawahi kufuta kauli yake mpaka leo🤣🤣
Hii imeenda 🙂Rage alifuta kauliyake ila Luc Eymael hajawahi kufuta kauli yake mpaka leo🤣🤣
Labda aliifuta mkiwa chumbani wawili.Rage alifuta kauliyake ila Luc Eymael hajawahi kufuta kauli yake mpaka leo[emoji1787][emoji1787]
Mfano wako ni irrelevant hauna mashiko kabisa ,kauli ya Manara alitioa akiwa Simba kupiga dingo kea hasimu wake Yanga tofauti na Rage ambayo itapewa uzito wa juu sababu alikuwa back ndani ya klabu.Vipi kuhusu wenye akili kuwa wawili tu upande ule wewe umo au haumo?.
Acha maneno wewe! Weka ushahidi hapa. Angefuta hiyo kauli ya kuwaita mbumbumbu, mpaka muda huu msingekuwa mnapelekeshwa hovyo na mwekezaji wenu Mudi.Rage alifuta kauliyake ila Luc Eymael hajawahi kufuta kauli yake mpaka leo🤣🤣
Ni vyema ukaianzishia uzi wako iyo kauli ila kwa sasa naomba tujadili mada husikaVipi kuhusu wenye akili kuwa wawili tu upande ule wewe umo au haumo?.
😆😆Luc eymael alitoa hiyo kauli akiwa bado ni mwajiriwa wa utoporooo...Rage alitoa kauli na kuitengua muda huo huo mkutano wa wanachama ukiendeleaNaomba clip au video ya Luc Eymael ,halafu hiyo kauli alitioa baada ya kufurumushwa tofauti na Rage akiwa bado mwenyekiti wa klabu.
Naomba clip au video ya Luc Eymael ,halafu hiyo kauli alitioa baada ya kufurumushwa tofauti na Rage akiwa bado mwenyekiti wa klabu.
Acha maneno wewe! Weka ushahidi hapa. Angefuta hiyo kauli ya kuwaita mbumbumbu, mpaka muda huu msingekuwa mnapelekeshwa hovyo na mwekezaji wenu Mudi.
Tena mwenyekitiMfano wako ni irrelevant hauna mashiko kabisa ,kauli ya Manara alitioa akiwa Simba kupiga dingo kea hasimu wake Yanga tofauti na Rage ambayo itapewa uzito wa juu sababu alikuwa back ndani ya klabu.