Rage: Simba nendeni Kwa Eng. Hersi awafundishe kusajili

Ndiyo huyu aliyewaita mbumbumbu wanachama na mashabiki wa simba?

Kama ni huyo aisee nashauri viongozi, wanachama na mashabiki wampuuze mpaka hapo atakapo omba msamaha kutokana na yale maneno yake makali.
 
Barbra yupo Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…