Rage: Simba nendeni Kwa Eng. Hersi awafundishe kusajili

Rage ndio mbumbu namba moja. Hivi Simba umekuwa sehemu ya kujifunza uongozi, swala la wachezaji wazee limepigiwa kelele muda mrefu sana
 
Ndiyo huyu aliyewaita mbumbumbu wanachama na mashabiki wa simba?

Kama ni huyo aisee nashauri viongozi, wanachama na mashabiki wampuuze mpaka hapo atakapo omba msamaha kutokana na yale maneno yake makali.
Aliwaita wanachama Ila alikuwa sahihi kwani hao ndio walimchagua Mangungu kwa kudanganywa kuletewa Manzoki.
Kuna kipindi Simba walimchagua mwenyekiti fundi cherehani akakaa wiki mbili wakamtoa.
 
Kwa msoamali mwenzake. Hivi Chadema wanaweza kwenda CCM kuomba msaada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…