Raha na karaha za vibanda umiza

Raha na karaha za vibanda umiza

Kila mmoja anapenda starehe; kila mmoja ana starehe. Starehe ziko kila mahali, kinachotofautisha ni madaraja tu.

Kwenye vibanda umiza ndio kuna starehe za bei ya chini kuliko pengine popote pale. In fact, ndiyo SEHEMU za maskini kujimwambafy.

Kwanini vinaitwa vibanda umiza? Ni vijumba kimo cha mbilikimo. Ili uzame ndani inabidi kuinama... Kama una kitambi ama manyama uzembe unaweza kujikuta unachafua hali ya hela. Huko ndani vikalio ni vigogo vya minazi na mabenchi yasiyorandwa

Huko ndani mwanga ni utusitusi. Huwezi kuwaona waliomo mpaka macho yazoee
Huko kuna pombe mpaka za mia mbili.

Huko huwezi kukuta mtu anakunywa Serengeti Lite
Huko hakuna mapaja na vipapatio vya nguku. Vilivyoko huko ni cheni bloku (utumbo) halo halo (vichwa) no 11 (miguu)

Huko hakuna Konyagi na Valuer. Kuna ngumu kumeza kama zote.
Huko hakuna Embassy na Dunhill huko kuna kali gozo na kubwa.
Huko vyoo ni vya makuti.

Huko mapenzi yako mpaka ya jero, na kuna bei elekezi kabisa ya kubwa na ndogo
Miziki maarufu ni ya kina msaga sumu
Video maarufu ni za pilau

Huko condom zinakodishwa na kutumiwa zaidi ya maramoja
Vibanda umiza havina shobo wala kuremba na ole wako ujaribu kutongoza demu wa msela, maji utaita mma

Niko huku kwenye maisha halisi ya Mtanzania mlalahoi
Umenifurahisha hapo ulivoandika kwamba ukiwa na kitambi au manyama nyama unaweza kuharibu hali ya hewa
 
[emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi sio2 kuona bali ishashiriki majirani walinivizia nikiwa pekeangu wakanizingira, nikapiga kelele ndugu zangu wakawa wametoka ndio ugomvi ukaanza Kati ya familia mbili ila pambano tulishinda nakesi ikaenda polisi, mwisho wasiku tukayamalizia kwenye baraza lamtaa
 
Wamekata tena.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1575561789143.jpeg
 
😀 😀 😀

Mshana Jr karibia 95% ya uliyoyasema nimekuja kuyaona huku Uzaramoni. Kuna wanzuki a.k.a ubuyu (wanavyoita wenyew) yaan utakuta siku za weekend zinauzwa kwa mafungu (yaan wanzuki 10 unapata kwa jero). Kuna vikundi. Yaan mnakusanyika watu kam 10 mnachanga hata jero jero then mnaweka order ya ck mnayotaka, ck mkienda mtakuta hata sandarusi limejaa... Dah, mkuu kuna mambo kwel huku uswahilin.
 
Kila mmoja anapenda starehe; kila mmoja ana starehe. Starehe ziko kila mahali, kinachotofautisha ni madaraja tu.

Kwenye vibanda umiza ndio kuna starehe za bei ya chini kuliko pengine popote pale. In fact, ndiyo SEHEMU za maskini kujimwambafy.

Kwanini vinaitwa vibanda umiza? Ni vijumba kimo cha mbilikimo. Ili uzame ndani inabidi kuinama... Kama una kitambi ama manyama uzembe unaweza kujikuta unachafua hali ya hela. Huko ndani vikalio ni vigogo vya minazi na mabenchi yasiyorandwa

Huko ndani mwanga ni utusitusi. Huwezi kuwaona waliomo mpaka macho yazoee
Huko kuna pombe mpaka za mia mbili.

Huko huwezi kukuta mtu anakunywa Serengeti Lite
Huko hakuna mapaja na vipapatio vya nguku. Vilivyoko huko ni cheni bloku (utumbo) halo halo (vichwa) no 11 (miguu)

Huko hakuna Konyagi na Valuer. Kuna ngumu kumeza kama zote.
Huko hakuna Embassy na Dunhill huko kuna kali gozo na kubwa.
Huko vyoo ni vya makuti.

Huko mapenzi yako mpaka ya jero, na kuna bei elekezi kabisa ya kubwa na ndogo
Miziki maarufu ni ya kina msaga sumu
Video maarufu ni za pilau

Huko condom zinakodishwa na kutumiwa zaidi ya maramoja
Vibanda umiza havina shobo wala kuremba na ole wako ujaribu kutongoza demu wa msela, maji utaita mma

Niko huku kwenye maisha halisi ya Mtanzania mlalahoi

Hahahahaha andiko lako limenikimbusha tamthilia ya watoto wa mama ntilie
 
Halafu wanzuki zina gesi balaa... Ukikosea tu pale unapofungua, umekwisha... yaan mfuniko unaweza kubutuka kama risasi. Kuna siku tulikuw mnadan... ghafla tukasikia kelele kwenye vibanda umiza... kufika pale kumbe mfuniko wa chupa ya wanzuki umeingia koon mwa mzee moja alipokuw akijaribu kufungua kwa meno. Ilikuwa balaa!
 
Back
Top Bottom