Ngoma ngumu bado,nikiingia free bado inaniambia add card sasa sijajua kwamba mm ndio sielew au ni vip?
Unatumia Ipi?
Tupeni update za kigogoNgoja tukupe
Namimi naomba VPN installation kitUsikonde
Sawa! Nileteeeni gwajimaaaaaaaaaa!VPN bana ππΎπππ nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea π°π·!!! π’
[FichuaTanzania 2020 elections updates]Muwe mnaweka hapa hizo screenshots za kigogo
Sheikh Askofu RashidSawa! Nileteeeni gwajimaaaaaaaaaa!
duhVideo ikionesha halima mdee anazozana na msimamizi wa kituo kuhusu kura feki.View attachment 1614499
Unahama viwanja bila passport Wala visa
Kabsa asee me natumia vpn master ila ya kichoko saan, mtuekee update hukuMuwe mnaweka hapa hizo screenshots za kigogo