Raha, Tamu na chungu ya VPN

Mimi nilitoka USA, then kwa sasa Niko Canada
 
Muwe mnaweka hapa hizo screenshots za kigogo
[FichuaTanzania 2020 elections updates]
!! Usiku wa kuamkia leo watu wasiojulikana walivamia na kumteka mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Sinza Evance Luvinga wakampiga na kumjeruhi maeneo mbalimbali ya mwili wake kisha wakamtupa kwenye mtaro.
 
Nipo kwa marikia nimeingia asubuhi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…