Wamekuchoma moto mzee baba?VPN bana [emoji1487][emoji23][emoji23][emoji23] nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea [emoji2406]!!! [emoji350]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umenichekesha sana mkuuapk means android package sasa kwenye ios unatafuta apk zipii??[emoji41][emoji41][emoji41] tuliwaambia mnunue tecno haya ona sasa
Njoo UK ule bata kwa mrijaNaomba ushauri nihamie wapi jaman?View attachment 1614954
apk means android package sasa kwenye ios unatafuta apk zipii??[emoji41][emoji41][emoji41] tuliwaambia mnunue tecno haya ona sasa
Naona wamekuvunja begaVPN bana [emoji1487][emoji23][emoji23][emoji23] nimetoka Hokkaido-Japan kwa sasa nipo Yeongam Gurim Village, South Korea [emoji2406]!!! [emoji350]
Jaman eeh..! Me napata wapi VPN mbna me nipo nyuma sana nilibweteka jana na WIFI ya office..
Nipo zangu paris ufaransa.. Lakin mda c mrefu naamia newyork.. Ufaransa mvua kubwa..[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata kama ulikuwa huamini katika ulozi itabidi tu uamini sasa
Bora ila kuwa makini usije ukaenda kalifonyaaa ile ya magufuli ya Arusha[emoji1787][emoji1787]
Inaanzaje kupatikanaa...!! Hapo ndo nimeamini watu wanaopata habari kutoka kwa Kigogo ni wachache sanaaaa..Naona pia jf haipatkan kwa wasotumia VPN ,,,, !!!