Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kula hivo hapana,anyway umenikumbusha juzi nipo na jamaa yangu tunakula kitimoto nusu na ndizi zetu za buku 2View attachment 1263495
Raha ya kula mle pamoja, ikitokea kuna watakaoona mpishi analeta upendeleo, nyama amejaza upande wa wengine hatimae Mdude. Chakula hupoteza ladha.
Ghafla akaja mtu fulani tunafahamiana nae
Alikuja pale hotelini kununua chakula,sasa alipotukuta tunakula akaanza naye kula bila kukaribishwa na akiwa hajanawa mikono,wakati huo huo ameagiza cha kwake jikoni
TULIMUACHIA ALE CHOTE[emoji36]