Raha nyingine ni pale kitanda kinapokuwa kiti. Matokeo had uipanga yenyewe.Unajua bwana kila kitu kina raha na karaha zake. Sasa kupanga na kuishi ndani ya chumba kimoja, kuna raha na karaha zake pia.
Kwa ufupi karaha zake ni kama pale itokeapo ukapata ugeni jinsia tofauti na wewe (siyo mpenzi wako) hapo lazima kichwa iwake
Tukirudi kunako raha za kupanga chumba kimoja, raha ni nyingi, ila raha na duraha iliyo kuu ni pale unapoamka asubuhi, YAANI VITU VYAKO VYOTE UNAVIONA.
raha yake zaidi usiweke viti vya kukalia, ili akiingia kuku direct anafikia machinjioni kwa bed, hivyo hauangaiki sanaHahahaa. Sawa rafiki. Hivyo na weye ni mpenzi wa chumba kimoja?
ameamka asubuhi akaona vitu vyake viko salama na ukaguzi ameufanya akiwa kitandani ameona kila kituSijui umewaza nn mkuu! [emoji16] [emoji16] Dah ila ni kweli maana asubuh umeamka ukaviona ukaamua uanzishe uzi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu ni moja tu USITUKANE WAGUMBA NA UZAZI UNGALIPOMbona kuna walio oa wanaishi chumba kimoja na unaambiwa baba mkwe ni mgonjwa amepata rufaa kwenda Muhimbili kutokea Nanjilinji.
Anakuja yeye na mama mkwe na wanakaa miezi sita. Cha ajabu kabla hawajaondoka wanawauliza mna tatizo gani mbona hakuna dalili ya uzazi.
Tunaishi hivyo wangu, tena tume up grade kila chumba kina huko la gesi na mtungi wake. Kwenye corridor labda kukaanga samaki tu kwani wana shombo. Shangaa wewe fire extinguishers hatuzijui lakini tunala na mabomu.
Duuh! Mtani we ni balaa.raha yake zaidi usiweke viti vya kukalia, ili akiingia kuku direct anafikia machinjioni kwa bed, hivyo hauangaiki sana
Karibu kwetu Kwamtogole uyaone. Kuna kitanda, seti ya makochi, kabati la nguo, coffee table ambayo pia ndiyo dining table. Pembeni kuna meza ina jiko la gesi chini ya meza ndoo ya unga na mchele na galoni ya mafuta ya kupikia.πππ.... haya mkuu! ila raha ya chumba kimoja kinatakiwa kama chumba cha hotel... nionavyo mimi... raha ya chumba lazima kiwe na space na hewa ya kutosha, sio kachumba unajaza vitu kama store
Punguza Uoga rafiki. πππ Japo mie nionavyo kama uwezo upo Chumba kimoja hakifai. Sababu kuna baadhi ya vitu si vizuri kila anayeingia avione.chumba kimoja inakuwa rahisi usafi, alafu chumba kimoja usiku hakitishi rafiki ππππ
Duuh! Mtani we ni balaa.
Hivyo ikitokea wageni nao wanakaa kitandani?
ShadeeyaDUUH.
Duuh! Hii ni kwa wale wakidigitali ila kwa kule Uswahilini kama alikosema Da Sky Eclat kila kitu kinapatikana humo humo kwenye chumba kimoja.Chumba kimoja wageni wanakaribishiwa kwenye mgahawa, ila tu tunawapisha home waache baraka na kujua mahala ambapo naishi ππππ
Duuh! Hii ni kwa wale wakidigitali ila kwa kule Uswahilini kama alikosema Da Sky Eclat kila kitu kinapatikana humo humo kwenye chumba kimoja.
mtani sasa hivi sehemu ya wageni wa kike na kiume ipo, niliondokana na matumizi ya chumba kimoja, lakini 9 years back kichuo chuo ilikuwa hatar tupu.Duuh! Mtani we ni balaa.
Hivyo ikitokea wageni nao wanakaa kitandani?