Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Habari za weekend JF member

Kichwa cha habari hapo juu cha jieleza.
Kwanza kabisa nipende kueleza kuwa katika historia ya maisha yangu sijawahi kutonga live (face to face) sijajua tatizo I'm still to young au ndo udomo zege sijui hata ni VP.

Ila nilishapata kuwa katika mahusiano na mabinti wawili by the way tulisha achani and now I'm still alone. Lakin jinsi nilivyowapata ilikua ni through phone ( chatting) basi humo ndo nilikua na dondosha vocals.

Sasa wadau na wabobezi kwa experience mliokua nayo inakuaje mpaka unaanza kumuita msichana na kuanza kumtongoza na haswa maneno gani ambayo unamwambia mpaka binti au mdada anakuelewa.

Kwangu kusema kweli kumekuwa na uzito mkubwa sithubutu kunyanyua kinywa na kuanza kumtongoza mtoto wakike

Wadau karibuni mnipe mawazo at least nianze kujenga confidence juu ya hawa viumbe......

Pesa tuziweke pembeni lete maneno hapa mpaka binti wa kike anazikubali swaga.

Karibuni wadau.
 
Kaka Two dimension array usiwe na hofu hilo ni janga la kitaifa kwa vijana wa kileo, wenzako sisi zamani ilikuwa unasukumiziwa mtoto ukshindwa kutongoza unasemwa mpaka unatamani ardhi ipasuke, mdogo mdogo mpaka unakuja kuzoea. Siku hizi mmerahisishiwa mambo, ni kubofya tuu.
 
Kwani weee kwenu hamna wazee tumia dawa..
Zamani kijijini kwetu kuna ndege fulani mweupe na mweusi anapenda kukaa kwenye yale mawe ya mtoni tuliawahi kuambiwa ukiweza kumuua ukakata yale manyoya yake ya mkia na ukaenda kuyachoma ule moshi wake ukajifuluzia (kama wanavyojufuluzia ubani) basi hapo kila mwanamke utakae pishana nae kama umempenda ukimpa mkono kama salam tuu yeye mwenyewe anakutamkia
 
Kaka Two dimension array usiwe na hofu hilo ni janga la kitaifa kwa vijana wa kileo, wenzako sisi zamani ilikuwa unasukumiziwa mtoto ukshindwa kutongoza unasemwa mpaka unatamani ardhi ipasuke, mdogo mdogo mpaka unakuja kuzoea. Siku hizi mmerahisishiwa mambo, ni kubofya tuu.
Kwangu naona kama hii hali imezidi yani yani kwa mwanamke ambaye sijamzoea ila nimemtamani coz yuko around all the time napata ugumu sana sometimes hata salama anaweza asiipate nikajipitia zangu tu
 
Kwani weee kwenu hamna wazee tumia dawa..
Zamani kijijini kwetu kuna ndege fulani mweupe na mweusi anapenda kukaa kwenye yale mawe ya mtoni tuliawahi kuambiwa ukiweza kumuua ukakata yale manyoya yake ya mkia na ukaenda kuyachoma ule moshi wake ukajifuluzia (kama wanavyojufuluzia ubani) basi hapo kila mwanamke utakae pishana nae kama umempenda ukimpa mkono kama salam tuu yeye mwenyewe anakutamkia
Mh! Mkuu hizo imani kwasasa hivi sijui kama ni applicable
 
Habari za weekend JF member

Kichwa cha habari hapo juu cha jieleza.
Kwanza kabisa nipende kueleza kuwa katika historia ya maisha yangu sijawahi kutonga live (face to face) sijajua tatizo I'm still to young au ndo udomo zege sijui hata ni VP.

Ila nilishapata kuwa katika mahusiano na mabinti wawili by the way tulisha achani and now I'm still alone. Lakin jinsi nilivyowapata ilikua ni through phone ( chatting) basi humo ndo nilikua na dondosha vocals.

Sasa wadau na wabobezi kwa experience mliokua nayo inakuaje mpaka unaanza kumuita msichana na kuanza kumtongoza na haswa maneno gani ambayo unamwambia mpaka binti au mdada anakuelewa.

Kwangu kusema kweli kumekuwa na uzito mkubwa sithubutu kunyanyua kinywa na kuanza kumtongoza mtoto wakike

Wadau karibuni mnipe mawazo at least nianze kujenga confidence juu ya hawa viumbe......

Pesa tuziweke pembeni lete maneno hapa mpaka binti wa kike anazikubali swaga.

Karibuni wadau.
Acha ushamba tongoza tuuu ukikosea poa
 
Mkuu unankumbusha mbali san,kunabint mmoja jiran yetu nlitokea kumpenda san ila kumwambia ikawa mtihan kwangu,nlichofanya nkamwandikia barua then nkamtuma dogo ampelekee yule binti,aise baada ya ile barua kwenda mapgo ya moyo yakawa yako juu san nkihofia ataenda kumpa mama ake lkn bahat nzur hakufanya hvyo,bas bhana zku zkaenda hakuna jibu wala nn lkn yule binti nlikuwa naonana nae kila cku halafu sometimes face 2 face lkn cha kushangaza nlikuwa naogopa hata kumwulizia khs majibu yangu ya ile barua,aize udomo zege mbaya san,kuna cku alikuwa anaenda madrasa nkamtuma yule dgo nenda kamwambie naomba majibu ya ile barua yangu daa! akasema kamwambie hata ckuisoma na nliichoma moto,daa!nlisikitika sn,lkn kwass nmekuwa mkongwe wa wakongwe.
 
Usihangaike wewe msifie tu,alafu mwambie wakati umeshikwa na kiu ya maji ile umetia maji katika grasi gafla sura take ikatokea na kiu ikakata,MPE sifa nyunyiza na mapene kidogo kisha omba mechi lazima upewe
 
Ehee we ndo mwenyewe Tozi tena nyangema Tupe miwili mitatu maujuzi
Mkuu unajua watu wengi wanapenda kujiumiza kichwa kwenye kutongoza, lakini kikubwa ujumbe kufika kwake yule mwanamke. Mfano
Mme: Habari yako Jessica
Mke: Nzuri
Mme: Nahisi mapigo yangu ya moyo yamebadilika hafla na kuanza kuuma sijui kwanini?.
Mke: Labda ukimbilie hospitali ukamuone daktari.
Mme: Maumivu yangu sio ya kutibiwa na daktari ila wewe nurse Jessica ndio dawa yangu, kila siku nikikuona navumilia lakini leo naona nikwambie ukweli wangu. Umeshika hisia zangu nataka uwe wangu wewe ndie ndoto yangu furaha ya moyo wangu. Naomba unikubalie niwe wako wa milele wa maisha yangu, naomba unipe jibu uupoze moyo wangu
Mke: ????


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom