Very truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Mmmmmh[emoji57] [emoji57] [emoji57]Mimi sijawahi tongoza...ila wanawake ndo wananitongozaga sana...sijui ni mkosi au Bahati hata sielewi
[emoji12] [emoji12]Watu wataiba maujuzi
Naomba namba yako ya M-pesa, nkuingizie dollarTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila ukijua kutongoza raha sana hasa ukimkaba mtu ndani ya 18 ANAKUWA HANA JIBU
Kikubwa kusoma 'signal'Kutongoza ukujawai kuwa biashara na hakukkwai pitwa na wakati kwani simapitio ya maisha bali ni sehemu ya maisha kamili.
Inamaana uliowai kuwapenda wote walikuja kujitongozesha kwako ?
Aiseeeee kuna mafundi buanaaa!! Halafu hawanaga mambo mengi wala mbwebwe za kutafuna lipsi.Very truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!
Meona eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....straight to the point but anakutia hamasa the way anavyojiexpressAiseeeee kuna mafundi buanaaa!! Halafu hawanaga mambo mengi wala mbwebwe za kutafuna lipsi.
Kwahiyo from nowhere tu anakwambia nakupenda kumbe ndio kujua kutongoza.Meona eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....straight to the point but anakutia hamasa!
Ukikaa vibaya unaliwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wee nae umetokea wapi[emoji15] ...Kwahiyo from nowhere tu anakwambia nakupenda kumbe ndio kujua kutongoza.
Haaahaaa...we demu weuwee[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna watu mnatongoza kishamba sana hadi unatamani kumjibu bro hebu katulie nitakuja kukutongoza mie
Weee hutongozagi?[emoji15] [emoji15]Hivi kuna watu bado mnatongoza mpaka miaka hii??
Siumesema straight to point sasa maanayake nini.Wee nae umetokea wapi[emoji15] ...
Hayo yako sasa usinilishe maneno
Mi sitongozi hata....Weee hutongozagi?[emoji15] [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole ukaenda kujipanga upyaKuna Mwanamke nilimtongoza kwa alivyonijibu ilinibidi nipumzike kutongoza mwezi 1
Hey dude hatuwezi kuelewana hapa....acha nijibizane na niliyemquote coz ni mwanamke mwenzangu au na wewe ni KE?Siumesema straight to point sasa maanayake nini.
Ila....Mi sitongozi hata....
Sijawahi pata bahati ya kutongoza mtu ninayempenda...