Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Very truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Naomba namba yako ya M-pesa, nkuingizie dollar
 
Kutongoza ukujawai kuwa biashara na hakukkwai pitwa na wakati kwani simapitio ya maisha bali ni sehemu ya maisha kamili.

Inamaana uliowai kuwapenda wote walikuja kujitongozesha kwako ?
Kikubwa kusoma 'signal'
 
Meona eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....straight to the point but anakutia hamasa!

Ukikaa vibaya unaliwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo from nowhere tu anakwambia nakupenda kumbe ndio kujua kutongoza.
 
Back
Top Bottom