mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....huyo demu asiyetaka kurudi kwao ni wa aina gani???
Hayo maharage ya mbeya
aaah nyie mnaeza mkaua mtu etii maana ukimjibu mtu vibaya ni unamuharibu saikolojia yake..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .....jus haaaahaaa!
Mmmh hapana mkuu...usicheze na hisia dear[emoji15] ....Sasa hapo ndo ndipo point yangu inapokua.
Niliwahi kukutana na mschana mmoja mji tofauti na wangu nilimkatia kwa mwaka mzima na mwisho wa siku aliambulia mikononi na hakuamini kma kingetoa hvyo. Inawezekana jamaa japokua humpendi ila alishindwa kujua nyinyi kuna vitu mbali mbali hua mnapenda mim nilijaribu mbinu 2 tofauti na ndio mpka hii leo najivunia nazo japokua hua hamfanani.
Kutongoza ilikuwa zamani[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....huyo demu asiyetaka kurudi kwao ni wa aina gani???
Hayo maharage ya mbeya
Sisi ndo wanaume wa mwisho mwisho wa aina hiiAbsolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!
Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
Ni kweli mkuu me sina mzuzu natamani ata nibandike wa bandiadaah ila si naskia watoto wanapendaga mizuzu tena ukiuchonga kibishoo zaidii...
Naona unajifwagiliaaSisi ndo wanaume wa mwisho mwisho wa aina hii
Naji elezea mkuu[emoji5]Naona unajifwagiliaa
Ni kweli mkuu me sina mzuzu natamani ata nibandike wa bandia
Daaah umeongea kwa hisia sana [emoji23]mi kuna binti nilikua nasoma nae bhana sasa nilikua nimemuelewa sana kama kawaida ukimpenda mtu huwezi kujizuia kumkodolea macho mara kwa mara ,cha ajabu sasa kila nikimuangalia namkuta na yeye ananitazama,moyoni nikajisemea huyu shorii atakua amenielewa pia daah what a coincidence?..basi siku nimejipanga hatari nikapiga moyo konde kwenda kumsemesha mrembo daah kumbe huo ni mtego ili nijilengeshe aiseee aloo kilichonikuta aisee nilipewa vya mbavuu ilibidi nipige pozi kutongoza mwaka mzima kwanza nijiulize nakosea wapi au nina gundu..wanawake nyie shenzi sanaaa...
Congrats my....yaaan we ni muelewa balaa!Hapo nimekuelewa my dear.
Nakubali sio kila mwanamke humpenda mwanamme sababu ya status ya mtu katika mahali husika hapana,bila shaka wew ulichukizwa pia na tabia mbya yake aliokua nayo.
Kitu chengine sisi binaadamu hakuna mtu aliozaliwa akawa na mapenzi moja kwa moja ila tulijifunza kupenda ndio maana katika huo upendo tunatongozana. Inawezekna leo nikakufata na kukutongoza ukakataa tu lbda kwasababu zako maalum ila kuna vile unaweza ukajibdilisha kwa mtu na ikakujia tu kubadilisha maamuzi.
Poa poa ....pamoja[emoji126] [emoji126]Naji elezea mkuu[emoji5]
Nakuhakikishia mkuu sio kweliKutongoza ilikuwa zamani
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Xaxa mkuu unamtongoza na hizo xaxa atakukubali kweli?[emoji15] [emoji23]
Hebu jifunze kuandika vixuri ndo ukamtongoze manxi wako....xawa eeeh?
Daaah umeongea kwa hisia sana [emoji23]
Ahsante,congrats kwako pia.Congrats my....yaaan we ni muelewa balaa!
Lijimwanaume lingine kwenye hii comment lingejiropokea tu!
Kama ulivyosema cha kwanza kabisa simpendi, malaya, halafu cha ajabu sasa baada ya kumkataa eti anajifanya mnyenyekevu kwangu, sio malaya[emoji23] [emoji23] ...mwisho naulizwa kwanini ninamchukia!....haaaahaaa huwa ananifurahisha mnoo