Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Kwa mtazamo wangu ..naona kinacho matter zaidi kwa mwanamke n vile anavokuona Mara ya kwanza ( first impression) km akiichukulia positive possibility ya kumpata n kubwa. Akichukulia negative hapo kumpata n mtiani ...siamini sana katika ushawishi wa Maneno kwamba ndo unamfanya mwanamke akuelewe ...ukitaka kujua hili linaukweli angalia watu wenye good look,wenye status mfano labda anakaz nzuri n.k ndo wanawapata mademu kiurahisi bila hata ya kusema chochote so kinacho matter zaidi n jinsi mwanamke atakavokuchukulia kwa Mara ya kwanza ndo ita determine km atakukubalia au utachezea cha mbavu.....
 
Sasa hapo ndo ndipo point yangu inapokua.
Niliwahi kukutana na mschana mmoja mji tofauti na wangu nilimkatia kwa mwaka mzima na mwisho wa siku aliambulia mikononi na hakuamini kma kingetoa hvyo. Inawezekana jamaa japokua humpendi ila alishindwa kujua nyinyi kuna vitu mbali mbali hua mnapenda mim nilijaribu mbinu 2 tofauti na ndio mpka hii leo najivunia nazo japokua hua hamfanani.
Mmmh hapana mkuu...usicheze na hisia dear[emoji15] ....

Can u imagine huyu ni CEO wa kampuni tena kubwa tu worldwide, bonge la HB ila malaya mbwa hafai ( ni mzungu)[emoji15] [emoji15] [emoji15] .... Mi sikumpenda from the first day na anajisifia kabisa kwamba mademu wote Tz huwa wanajipendekeza kwake lkn anashangaa kwangu why!

Only this nataka kumuonesha na kumprove wrong kuwa sio kila mwanamke anahisi atamla na of course kama kawaida simpendi hicho ndio kikubwaa!
 
Absolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!

Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
Sisi ndo wanaume wa mwisho mwisho wa aina hii
 
witnessj, ]Hapo nimekuelewa my dear.
Nakubali sio kila mwanamke humpenda mwanamme sababu ya status ya mtu katika mahali husika hapana,bila shaka wew ulichukizwa pia na tabia mbya yake aliokua nayo.
Kitu chengine sisi binaadamu hakuna mtu aliozaliwa akawa na mapenzi moja kwa moja ila tulijifunza kupenda ndio maana katika huo upendo tunatongozana.

Inawezekna leo nikakufata na kukutongoza ukakataa tu lbda kwasababu zako maalum ila kuna vile unaweza ukajibdilisha kwa mtu na ikakujia tu kubadilisha maamuzi.
 
mi kuna binti nilikua nasoma nae bhana sasa nilikua nimemuelewa sana kama kawaida ukimpenda mtu huwezi kujizuia kumkodolea macho mara kwa mara ,cha ajabu sasa kila nikimuangalia namkuta na yeye ananitazama,moyoni nikajisemea huyu shorii atakua amenielewa pia daah what a coincidence?..basi siku nimejipanga hatari nikapiga moyo konde kwenda kumsemesha mrembo daah kumbe huo ni mtego ili nijilengeshe aiseee aloo kilichonikuta aisee nilipewa vya mbavuu ilibidi nipige pozi kutongoza mwaka mzima kwanza nijiulize nakosea wapi au nina gundu..wanawake nyie shenzi sanaaa...
Daaah umeongea kwa hisia sana [emoji23]
 
Hapo nimekuelewa my dear.
Nakubali sio kila mwanamke humpenda mwanamme sababu ya status ya mtu katika mahali husika hapana,bila shaka wew ulichukizwa pia na tabia mbya yake aliokua nayo.
Kitu chengine sisi binaadamu hakuna mtu aliozaliwa akawa na mapenzi moja kwa moja ila tulijifunza kupenda ndio maana katika huo upendo tunatongozana. Inawezekna leo nikakufata na kukutongoza ukakataa tu lbda kwasababu zako maalum ila kuna vile unaweza ukajibdilisha kwa mtu na ikakujia tu kubadilisha maamuzi.
Congrats my....yaaan we ni muelewa balaa!

Lijimwanaume lingine kwenye hii comment lingejiropokea tu!

Kama ulivyosema cha kwanza kabisa simpendi, malaya, halafu cha ajabu sasa baada ya kumkataa eti anajifanya mnyenyekevu kwangu, sio malaya[emoji23] [emoji23] ...mwisho naulizwa kwanini ninamchukia!....haaaahaaa huwa ananifurahisha mnoo
 
Congrats my....yaaan we ni muelewa balaa!

Lijimwanaume lingine kwenye hii comment lingejiropokea tu!

Kama ulivyosema cha kwanza kabisa simpendi, malaya, halafu cha ajabu sasa baada ya kumkataa eti anajifanya mnyenyekevu kwangu, sio malaya[emoji23] [emoji23] ...mwisho naulizwa kwanini ninamchukia!....haaaahaaa huwa ananifurahisha mnoo
Ahsante,congrats kwako pia.
Ningesema muonee huruma jamaa ila swezi kusema hvyo kwasababu ila fisi huutamani mfupa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
 
Back
Top Bottom