Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaDah nakumbuka mara ya kwanza mm kukataliwa na mwanamke, tumbo na mkojo vilinibana ghafla, niliingia msalani kwa pupa, nilikojoa bila kulenga tundu huku nikijamba mfululizo bila kujizuia Zainabu002
Hahahahaha
Mkuu unakumbuka ni sound gani ulikwenda nazo tupia hapa nione kama ulivuruga au alikuonea
Hahaha umenichekesha sana kumbe huwa mnajisikia vibaya kukataliwa ee
HIVI ULISHAWAHI KUKUTANA NA WANAUME WA KIZARAMO WEWE?Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Aisee kama mimi tu hatari akakupa makavu sana
Acha tu mkuu sizikubal hizi pigo. Hata kiprotokali kitenge si formal...Haaaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiiii wewe utaacha watu wasivyae shati za vitenge na wake zao acha hizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kutongozwa na wanawake ni nyota ya UKIMWI....Mkosi mkubwa sana. Utakuwa na nyota ya kupata ukimwi
Waoow!...hongera mkuunimetype nikafuta nimetype nikafuta, ila nilichotaka kusema kuwa hii mbinu ilinipa wadada.
Haaahaaa....ukiwa bahili utapata za uso kinoma!I will work on it. Ndio maana nimekaukiwa kwa kujifanya mjuaji[emoji848]
HongeraIlikuwa ganda la ndizi
Mie nataka kushona mmoja sijui tutavaaje sipati picha kama sisiem vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu mkuu sizikubal hizi pigo. Hata kiprotokali kitenge si formal...
Haaahaaa....ukiwa bahili utapata za uso kinoma!
Kumbuka mkono mtupu haulambwi!