Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Suala la kutongoza ni kma mwanamke kumtongoza mwanaume mwanaume akitongozwa na msichana mzur hakatai hata siku moja aje atongozwe na mwanamke ambaye hajavutiwa nae ohooooo. Hapo ni sawa na mvulana asa kumtongoza msichana
 
Dah nakumbuka mara ya kwanza mm kukataliwa na mwanamke, tumbo na mkojo vilinibana ghafla, niliingia msalani kwa pupa, nilikojoa bila kulenga tundu huku nikijamba mfululizo bila kujizuia Zainabu002
Hahahahaha
Mkuu unakumbuka ni sound gani ulikwenda nazo tupia hapa nione kama ulivuruga au alikuonea

Hahaha umenichekesha sana kumbe huwa mnajisikia vibaya kukataliwa ee
 
Hahahahaha
Mkuu unakumbuka ni sound gani ulikwenda nazo tupia hapa nione kama ulivuruga au alikuonea

Hahaha umenichekesha sana kumbe huwa mnajisikia vibaya kukataliwa ee


Anza na ww tabia ya kutongoza kila mwanaume unaempenda/anaekuvutia, siku ukikataliwa, ndo utajua sisi wanaume tunajisikiaje pale ninyi wadada mnapotukataa Zainabu002
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
HIVI ULISHAWAHI KUKUTANA NA WANAUME WA KIZARAMO WEWE?
UTAPEWA MANENO MATAMU HADI UONE HII DUNIA YOTE NI YAKO.
 
Haaaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiiii wewe utaacha watu wasivyae shati za vitenge na wake zao acha hizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu mkuu sizikubal hizi pigo. Hata kiprotokali kitenge si formal...
 
Hii mada imenigusa sana, maana nilikuwa domo zege na vibuti nilikuwa nachezea vibaya mno.

Kuna mtu mmoja alifundisha vizuri sana, namna nzuri ya kuongea na wanawake, jaribu kutengeneza dialogue make her comfortable around you. First impressions matter, usilete topic/maswali yenye "Yes/No". Sio unafika tu, "Dada nimekupenda, naomba namba yako ya simu", akisema hana simu gearbox inakuwa imeingia kokoto.

Kuna manzi nilikuwa nasoma naye chuo, wakishua, halafu ana akili kinoma. Ana jamaa yake ana mpunga kweli kweli. Siku moja nikakutana nae mtaanai, nikamsalim then nikamwabia something simple, "Unajua kila nikikuona huwa najiuliza maswali mengi sana", alipotaka kujua ni maswali gani, nikamwambia "never mind".

Tukabadilishana namba, usiku alikuwa wa kwanza kunipigia (nilitengeneza the need to know, na binadamu hapendi kutojua), anataka ajue ni maswali gani hayo? bahati nzuri sana nilikuwa na safari, tukaongea/chat sana. Actually I was surprised, hakuwa na nyodo kama tulivyokuwa tunadhani; nilivyorudi nikwambia nimekuletea zawadi(uongo mtupu).Zawadi gani, nikamwabia siri yangu, njoo home uchukue, alivyokubali tu, mimi huyo Mwenge vinyago kuchukua zawadi kutoka "Arusha"
The rest is history....

Talk to her about anything without direct requests, mpaka atakapojisikia huru na wewe; Angalia mazingira, unawezaje kumfanya awe comfortable na wewe hapo mlipo?. Kuna demu mmoja nilimpataga kiulaini Mlimani City. Nimekutana nae Mr Price, nikamsalimia, nikajitambulisha [Respectfully]. Then nikamwomba msaada (Point to note: surprisingly wanawake wanapenda sana kutoa msaada), anisaidie kutafuta zawadi nzuri ya birthday ya dada yangu wakati sina dada wala birthday.
Nikawa nimeua ndege watatu kwa jiwe moja

1. Nimetengeneza dialogue without looking like an jerk.
2. Kwa kumuamini na kumpa kazi ya kutafuta zawadi, nimetengeneza trust between us; inaondoa natural defenses za mwanamke
3. Nimeonyesha kwamba I do care (kumtafutia zawadi sister yangu)
The rest is history....

Kuna actions wanawake wanazipenda naturally mfano taking care of children. Siku moja moja toka na vitoto vyako or vya any close relative, approach any lady, lazima moyo wake u-melt; anaanza kumuona baba wa watoto wake wakati wewe ni fisi tu. (Msije anza kuzungusha juani watoto wa ndugu zenu)

Kutongoza ni science. Wanaume tujue wanawake wanatongoza kila siku na kila mtu; how do you stand out? Nini kitamfanya asikusahau wewe? Jifunze, practise, utafanikiwa.
 
MtamaMchungu, Haaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...wee jamaa let me shut up[emoji40] [emoji40] [emoji48]
 
Mimi kuna binti nilimtongozaga miaka 3 iliyopita akanichomolea nje kwa dharau,sasa nashangaa mwezi uliopita ananitumia sms hutaki mzigo . Nimemjibu nilikupenda kipindi kile wakati hujazaa ,sasa sipendi used
 
Acha tu mkuu sizikubal hizi pigo. Hata kiprotokali kitenge si formal...
Mie nataka kushona mmoja sijui tutavaaje sipati picha kama sisiem vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom