Kiziwanda chema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 288
- 478
Tatizo ni pale umetongoza umekubaliwa baadae unakuja kugundua uliemtongoza sio, tena ukute maji maramoja.. 😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndama mwehu kweli kweliKwa muono Wangu Mim mwehu ndama Mdau mwenzenu nasema Kuzaliwa mwanaume ni bahati kwake mwanaume lakini pia kuzaliwa mwanamke ni fahari Sana Kwa jamii.
Naam kuwa mwanaume kunatupa fursa adhimu yenye kuvutia Inayojenga dhana nzima ya utu wetu uliopewa utukufu mwingi na muumba wetu aliyetukuka.
Fursa hii si nyingine Bali ni Ile ya Sisi kujipima makali yetu na kujifua Kimbinu mbele ya wanawake naam mbele ya mapambo yetu haya tuliyoumbiwa na mnyezi Mungu ili kuweza kuyamiliki kifikra na hata kuyatafuna kimwili pale inapobidi
Hakika kumtongoza mwanamke ndio starehe kubwa yenye msisimko mwingi na hakishi tele kuwah kutukia katika maisha yetu wanaume.
Kutongoza kuna Raha kubwa isiyokifani kunatujengea watongozaji Hali ya kujiamini mara baada ya ombi lako kukubaliwa na kutupa nguvu yakuendelea kutongoza kila mara lakini pia harakati hizi za kutongoza zinajenga msisimko mkubwa Sana wa kupenda maisha sababu walau kunakupa sababu ya kupenda kuiona kesho ili kupata jibu, unaweza ukatumia utongizaji kama Tiba ya msongo wa mawazo sababu kutongoza kutakupa changamoto mpyaa.
Mwanaume kukaa bila kutongoza ni dhambi kubwa Sana na kunazeesha haraka sana, hivyo tujenge mazoea yakutongoza mara Kwa mara ili Ku update mbinu zetu, tena kuoa au kuwa kwenye mahusiano kusitukatishe tamaa." ni lazima tutongoze Sana tena hovyo hovyo Kwa ajili ya akiba ya baadae Naam lazima tujifunze kuweka viporo vya wanawake Kwa ajiri ya dharura za usaliti na hii itasaidia hata kupunguza Mori zetu na hasira Kali mara tunaposalitwa.
Basi Kwa hayo machache niwatakie utongozaji wenye umakini na ustadi mkubwa
NB:
usiangalie mazingira ,tongoza popote pale na mda wowote mwanamke hapewi nafasi ya kufikiria nikurusha makombora Tu, mpaka jibu liwe positive nibora umtongoze milele kuliko kukubali jibu la hapana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bad idea !! Kufanya hayo Ina maana umekosa kabisa hicho kitu haliwezekani, huwezi kukosa mwanamke wa kuoa, never.Glenohumeral joint, Sometimes u have to still one's wife ukiona hutoboi
Sent using Jamii Forums mobile app
kazi gani mkuu google helper?kazi ipo si kitoto
aisee na vipi kama ukiwa unakataliwa mkuu? maana kutongoza na kwenyewe ni stadi mujarabu ambayo sio wote waliofuzu kikamilifuKwa muono Wangu Mim mwehu ndama Mdau mwenzenu nasema Kuzaliwa mwanaume ni bahati kwake mwanaume lakini pia kuzaliwa mwanamke ni fahari Sana Kwa jamii.
Naam kuwa mwanaume kunatupa fursa adhimu yenye kuvutia Inayojenga dhana nzima ya utu wetu uliopewa utukufu mwingi na muumba wetu aliyetukuka.
Fursa hii si nyingine Bali ni Ile ya Sisi kujipima makali yetu na kujifua Kimbinu mbele ya wanawake naam mbele ya mapambo yetu haya tuliyoumbiwa na mnyezi Mungu ili kuweza kuyamiliki kifikra na hata kuyatafuna kimwili pale inapobidi
Hakika kumtongoza mwanamke ndio starehe kubwa yenye msisimko mwingi na hakishi tele kuwah kutukia katika maisha yetu wanaume.
Kutongoza kuna Raha kubwa isiyokifani kunatujengea watongozaji Hali ya kujiamini mara baada ya ombi lako kukubaliwa na kutupa nguvu yakuendelea kutongoza kila mara lakini pia harakati hizi za kutongoza zinajenga msisimko mkubwa Sana wa kupenda maisha sababu walau kunakupa sababu ya kupenda kuiona kesho ili kupata jibu, unaweza ukatumia utongizaji kama Tiba ya msongo wa mawazo sababu kutongoza kutakupa changamoto mpyaa.
Mwanaume kukaa bila kutongoza ni dhambi kubwa Sana na kunazeesha haraka sana, hivyo tujenge mazoea yakutongoza mara Kwa mara ili Ku update mbinu zetu, tena kuoa au kuwa kwenye mahusiano kusitukatishe tamaa." ni lazima tutongoze Sana tena hovyo hovyo Kwa ajili ya akiba ya baadae Naam lazima tujifunze kuweka viporo vya wanawake Kwa ajiri ya dharura za usaliti na hii itasaidia hata kupunguza Mori zetu na hasira Kali mara tunaposalitwa.
Basi Kwa hayo machache niwatakie utongozaji wenye umakini na ustadi mkubwa
NB:
usiangalie mazingira ,tongoza popote pale na mda wowote mwanamke hapewi nafasi ya kufikiria nikurusha makombora Tu, mpaka jibu liwe positive nibora umtongoze milele kuliko kukubali jibu la hapana.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah mkuu Wild Thoughts uko vizuri mzee baba,inaonesha ukikutana na bi dada ana kwa ana kwa mbinu hizo hachomoi haki vileMimi hata mwanamke nikimuomba namba, kama nikitaka kumtongoza ntamtafuta kupitia iyo namba(SMS or Call) tukutane ana kwa ana nitongoze.
Kuchat au kumpigia simu labda nabembeleza anikubalie (hapo nimeshatongoza ana kwa ana)
Kutongoza kwa kuchat au call sawa naweza lakini sioni kama ni njia nzuri maana anaweza kukata sim au akaacha ku reply text.
Au hata akionyesha ushirikiano kujibu halafu akanipiga chini SITAKUBALIANA NA MATOKEO.
Kutongoza ana kwa ana ni raha sana maana unabadilika nae kulingana na unavyomuna, akibadilika mood na mi na chenji gia.
Message isn't conveyed 100% by words only eti unatongoza huku unachat sms au unapiga simu(words&tone).
Kuna vitu vinamiss hapo, body language and facial expression
Hapa ndo mchuchu anakuelewa bila hata kuongea sana.
Ukiwa unatongoza ana kwa ana hakuna kinachomiss ni wewe tu ushindwe mwenyewe kutema stanza maama ujumbe utakaoufikisha ndo huohuo ulioukisudia.
umedadavua aina za utongozaji vizuri sana wengi wetu leo tunafall kwenye aina hiyo ya pili mkuuKutongoza ni sanaa...
Kutongoza ni kujilipua na kujitoa ufahamu.Manake unakua hujui muhusika atakuwa na mwitikio upi......
Kutongoza demu ambae yuko calm, sio desperate ana maisha yake kimtindo ambae huwezi kumdanganya kirahisi kwa pesa ndo inaweza kuwa ngumu kidogo manake mpaka awe na sababu nyingine ya kukupenda ...
Pia navyoona kutongoza msichana kwa ajili ya nyege zimekujaa na yeye unataka umuamshe nyege ili mmalizane ni tofauti na kumfuata msichana ambae umeona unaweza kuwa mtu wako....
mkuu ungependa binti yako au dada yako,shangazi yako mama dogo wako awe wa ngapi katika idadi ya wanawake ambao mwanaume mwenzako amemuweka?Wanajamviii Ee mu hali gani
Poleni wadada wale ambao 10% na 25% inawagusa na waume ambao ndo wahudumiaji wakubwa.,
Linapokuja swala la kuchagua mwanamke kwa ajili ya kuoa au ngono tu wengi wetu tunaongozwa na tamaa tu, binafsi ninatamaa haswa pale tu ninapomwoma mwanamke pande zote mbili yaani mbele na mgongoni.,
Awe single mom awe kicheche au katulia ivo nitavitilia maanani baada ya kumpiga ukuni,
Anaweza akawa na sura nzuri ila kama nyuma ni unshaped basi automatic nakua sina tamaa nae,
Anaweza akawa na sura mbovu ila kama nyuma ni shaped automatic nakua na hisia nae na nitajiona loser endapo nitamkosa,
Ila atajizolea bonasi zaidi endapo kote atakua fit amaekizi criteria zote uyo akiwa na ukimwi ni rahisi sana kuniambukiza ila kwakua zana zimapunguzwa kodi aaah nitatumia zile O.g
Mpaka nafika hatua ya kumwita mwanamke basi atambue nishamuona upande wake wa mbele na nyuma na mi si mjinga mpka namwita ni kwamba amenikuna tamaa zangu
Kama sitooa nimejiwekea malengo ya kumega wanawake 250 bila kupata HIV ,sio ufahari ila tumeumbiwa sisi hawa viumbe wawe faraja yetu na kutuondoa uzembe (misperm ikikaa sana inasababisha uzembe).
mkuu mwanaume unaogopaje kumtongoza mwanamke? nina amini mwanaume anayejiamini kwamba yeye ni mwanaume kamili aliyeumbwa kummpenda mwanamke hawezi kuogopa kumongoza mwanaume labda kama atakosa mbinu nzuri tu na kutofautisha mazingiraKutongoza mwanamke live live ni kazi ndo maana hata matajiri na wasomi wanachukua wabovu sio wale wakali tena wanaoa kabisa na kusaidiana maisha.
Kutongoza kuna ugumu lakini sasa hivi mitandao ya jamii ilichofanya ni kuutangaza umalaya; wanawake wanaojiuza wapo kila sehemu Instagram, Badoo n.k na hali inazidi kuwa mbaya.
Unaweza ukawa na hela na ukamuona dada mzuri unashindwa kuongea naye au ukikutana na mwanamke mkali anakupiga hela na kum-do usim-do.
mkuu Streptokinase ukionwa mwanaume unazitegemea pesa zako kupata wanawake basi ujue tayari na wewe umeshaingia kwenye group la wenye midomo mizito,wanaume wa kweli hawai backed upa na chohcote Zaidi ya mpangilio mzuri wa maneno labda na kamuonekano kakinadhifu na kistaarabu na haiba ya kiumenyie ndo mnatudhalilisha wanaume, yani ww unahela unashindwa kumpata mwanamke kweli?? watu mnamidomo mizito hadi mnakera
Siku hizi mambo yamebadilika sana ni kinyume chake.kazi gani mkuu google helper?
On our way to hellsure mkuu kila kitu siku hizi kinabadilika kwa kasi ya 4G ni kama tunasahau haiba zetu,yaani wanaume wanakosa haiba ya kiume na wanawake wanakosa haiba ya kike pia,too sad sijui tunaelekea wapi