Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Ndama mwehu kweli kweli
 
Tatizo ni pale umetongoza umekubaliwa baadae unakuja kugundua uliemtongoza sio, tena ukute maji maramoja.. 😀😀😀😀😀
kwa hiyo we unapendekeza nini Mkuu? mwanamke ndo akutongoze wewe au?
 
aisee na vipi kama ukiwa unakataliwa mkuu? maana kutongoza na kwenyewe ni stadi mujarabu ambayo sio wote waliofuzu kikamilifu
 
dah mkuu Wild Thoughts uko vizuri mzee baba,inaonesha ukikutana na bi dada ana kwa ana kwa mbinu hizo hachomoi haki vile
 
umedadavua aina za utongozaji vizuri sana wengi wetu leo tunafall kwenye aina hiyo ya pili mkuu
 
Ya moja kwa moja ndio nzuri kwangu, maana naweza hata kujiliza ilimradi aone huruma aachie mbunye
ushawapata wa namna hiyo wangapi mkuu? kuonewa huruma na kupewa kiasi cha kupenda aina hiyo ya utongozi?
 
mkuu ungependa binti yako au dada yako,shangazi yako mama dogo wako awe wa ngapi katika idadi ya wanawake ambao mwanaume mwenzako amemuweka?
 
mkuu mwanaume unaogopaje kumtongoza mwanamke? nina amini mwanaume anayejiamini kwamba yeye ni mwanaume kamili aliyeumbwa kummpenda mwanamke hawezi kuogopa kumongoza mwanaume labda kama atakosa mbinu nzuri tu na kutofautisha mazingira
 
nyie ndo mnatudhalilisha wanaume, yani ww unahela unashindwa kumpata mwanamke kweli?? watu mnamidomo mizito hadi mnakera
mkuu Streptokinase ukionwa mwanaume unazitegemea pesa zako kupata wanawake basi ujue tayari na wewe umeshaingia kwenye group la wenye midomo mizito,wanaume wa kweli hawai backed upa na chohcote Zaidi ya mpangilio mzuri wa maneno labda na kamuonekano kakinadhifu na kistaarabu na haiba ya kiume
 
Kupigwa tarehe ilikuwa ni kawaida
hhahahahahahahahahaha ulikuwa unachukuliaje kupigwa tarehe mkuu? ulikuwwa unapenda au unaborka na kumkatia tamaa aliyekupiga tarehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…