Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Unamtongoza mwanamke umekwisha kata tamaa huku umeangalia chini, ndiyomaana wanakuchukulia poa na kukupa majibu mepesi.

Je unamtongoza ili uzini naye muishane, au unamtongoza kumfanya awe hawara yako, au unamtongoza kutaka uchumba kuoa?

Maswali hayo, kila stage ina utongozaji wake.

Kutongoza mchepuko ama hawara: kama utakuwa na umri wa makamo kisha una kitambi, usisimamishe mwanamke njiani, utaonekana ni mzee hujatulia.

Mchague kisha tuma mtu akakuitie kisha mtongozee mahali patulivu umepumzika, lazima mtafikia muafaka mzuri tu.

Ukiona vipi, tumia kuwadi kama wanavyofanya waheshimiwa wakware, ili upate thamani halisi ya matumizi ya fedha zako.

Lakini kama kuoa, nyenyekea na usitangulize ukware wako.

Badilisha haiba yako, ongea naye kipole kwa maneno machache, kisha tumbukiza gia, usitume mtu wala usitongezewe.

Nenda mwenyewe hata kama ni domo zege,wewe nenda tu hivyohivyo maana ni maisha yako halisi hayo kajisemee.

Kwa kuwa ni jambo jema huwa halina utata sana, inategemea na mazingira, utakubaliwa tu.

Lakini sisi mahangaya, ninamtongoza mwanamke yeyote mwenye haiba yoyote popote pale.

Tena likija suala la kutongoza, hupandisha jazba kichwani bila kujua inapotokea.

Hiyo hasira hunisaidia kuniamria wa kuchukua ama wa kuacha.

Kwa kuwa jambo hilo hulichukulia kama ligi ya kutafuta mshindi, basi ninapenda wanawake wagumu, wenye maringo na majigambo ama wenye matusi, ili anikashifu ama anitukane mbele za watu, nipate sababu ya kuhangaika naye.

Nikiishalianzisha, huwa sirudi nyuma na popote tutafika tu, iwe kwa mjumbe hata mahakamani, kesi madai itaunguruma.

Atakapojutia matusi yake na kutaka issue tuimalize nje ya mahakama. Hapo hapo huwa ninamtamkia wazi njia gani itumike ili kumaliza kesi kabisa.

Njia hiyo ndiyo hupelekea kuanza mafungamano yasiyo na mwisho na mshindi mara zote huwa ni mimi.

Na kwa anayenijibu kipole na kwa heshima kuwa yupo kwenye mahusiano na mtu, huyaheshimu majibu yake na kuachana naye kistaarabu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako unaongea maneno tu,huku unajua kabisa maneno matupu hayalambwi.
Anza kujari kwa vitendo kisha maneno yako yafuate.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, utahonga bila kutongoza?
Si utaonekana kama mwehu flani anayetupa makopo ovyo!

Kuhonga haukatazwi. Lakini tongoza kwanza ukubaliwe, ndiyo uoneshe makucha na thamani halisi ya matumizi ya fedha zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani wahenga naombeni tusaidiane ktk hili jambo linalonichanganya..ni kuhusu namna wadada wanavonijibu vile navowatongoza hadi naelekea kukata tamaa kabisa..
N hivi hadi sasa ndani ya kama mwaka mmoja hivi nimetongoza wadada wanne kwa nyakati tofauti ila wote wananikataa kwa kunipa jibu moja kuwa wanao watu tyr...hadi nachoka yaan....HV n kweli wote wanao au hii n mbinu ya kukataliwa tu na hawa wasichana??
Nipeni mawazo maana sasa nakata tamaa na kutongoza kabisa maana nafuatilia sana ila jibu nalopewa n hilohilo ,kama wanaambiana vile wakati hawahusiani kabisa

Nawasilisha....

Sent using Jamii Forums mobile app
Una umri gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes wanawake wanakuwa na dharau na maneno ya kuumiza kuumiza kisaikolojia pale ambapo unafanya harakati za kumtongoza au kumfanya umpate.

Ieleweke tu by nature kumtongoza mtu kwa kifupi ni kama unamshobokea mtu au kwa lugha rahisi lazima umshobokee unayetaka kumtongoza kwa kujipeleka kuanzisha kuongea nae hata kama hamjawahi ongea.

Hii ni kuanzia kuomba namba mpaka kumchatisha kila siku bila ya yeye kukuanza. Unamuanza yeye tu “mambo" yaani kwa kifupi ni unajipendekeza ila utafanyaje na nature ishakuwa hivyo?

Sasa tatizo upande wa pili wenzetu wanawake wanashindwa kuelewa hili unakuta mtu anakudharau. Hivi siku ambayo wanaume wataamua kugoma kutongoza kila mmoja asiwe na shobo na mwenzie hivi duniani ingekuwaje?

Au wanawake mngepewa nyinyi jukumu hili mngeliweza? Acheni zenu bana hakuna anayependa kumshobokea mwenzie ila kwa sababu ya nature hatuwezi kwepa.
 
Back
Top Bottom