Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Ni kweli kabisa ,kuna mwanamke niliwahi mtongoza akanitukana balaa,Mara ooh Malaya wewe ,Mara ooh una Nina sura ya kishetani ,hahaa wakati kipind hicho nilikuwa Hb
 
hili jambo xntosahau nlimtongoza demu wik nzima akaniambia ntmie vocha nkatma akaniambia ntakujibu kesho na kweli akanijbu kwa hasira nkamuambia ntakushukuru na me week ijayo kama nimeridhka uwepo wapo xtakag urembo bandia kbsa
Xaxa mkuu unamtongoza na hizo xaxa atakukubali kweli?[emoji15] [emoji23]

Hebu jifunze kuandika vixuri ndo ukamtongoze manxi wako....xawa eeeh?
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
So kwa namna hiyo. Akija kila mwanaume anayejua kutongoza ..possibility ya kupewa zigo ni kubwa
 
Absolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!

Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
Dada usimuusishe Mungu kwenye Uzinzi.
 
titimunda, Kabisa Mkuu na ogopa wale madem unapowatongoza attention yao ikawa kwako unaweza juta kwanin ulimfata utakaposhindwa kujitetea.
 
Back
Top Bottom