Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tatizo la kiuandishi eeeh??....sasa hapo umetype nini kwa mfano?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Aya maana amna namna[emoji82] [emoji82]
Xaxa mkuu unamtongoza na hizo xaxa atakukubali kweli?[emoji15] [emoji23]hili jambo xntosahau nlimtongoza demu wik nzima akaniambia ntmie vocha nkatma akaniambia ntakujibu kesho na kweli akanijbu kwa hasira nkamuambia ntakushukuru na me week ijayo kama nimeridhka uwepo wapo xtakag urembo bandia kbsa
Ni kweli kabisa ,kuna mwanamke niliwahi mtongoza akanitukana balaa,Mara ooh Malaya wewe ,Mara ooh una Nina sura ya kishetani ,hahaa wakati kipind hicho nilikuwa Hb
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....nimetoka kumjibu now huyo mkuukama unatongoza kwa maandishi kama haya bas mnatutafutia lawama za bure
Kwahiyo we huwa unafanyaje hebu?Hivi bado kuna watu wanatongoza!
Mimi nilishasahau
Sijui unaanzaje kumtongozea demu/mwanamke wa umri kwa mfano miaka 25
Kwa hiyo sasa hivi umezeeka?Ni kweli kabisa ,kuna mwanamke niliwahi mtongoza akanitukana balaa,Mara ooh Malaya wewe ,Mara ooh una Nina sura ya kishetani ,hahaa wakati kipind hicho nilikuwa Hb
Sometimes majukum yakizidi unapungua ,saiv ninamzuzu kama beberuhaahaahaaa haaahaaa....kumbe uHB una vipindi..?
Hamna Dada ,tatizo nimefuga mzuzu kama beberu,Kwa hiyo sasa hivi umezeeka?
Sometimes majukum yakizidi unapungua ,saiv ninamzuzu kama beberu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ok mkuu....jitahid kuwa fresh wadada hatupendi hizo mambo....tutajiuliza ndevu tu hajanyoa je v.uzi si utakuwa mkia wa pundaHamna Dada ,tatizo nimefuga mzuzu kama beberu,
So kwa namna hiyo. Akija kila mwanaume anayejua kutongoza ..possibility ya kupewa zigo ni kubwaTatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Hhhhh[emoji23] [emoji23] [emoji23] anatutia doa kwakweli.kama unatongoza kwa maandishi kama haya bas mnatutafutia lawama za bure
Malizia story [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Very truuu......mi mgumu kulainika ila kuna jamaa fulani last year alininyegesha huyoo[emoji23] [emoji23] ....kuna wanaume wajanja asee!
Hata,km anatongoza kishamba,mantinki c ile ile ya kutaka mzigo au n mpaka akufurahishe ndo unamuachia zigoKuna watu mnatongoza kishamba sana hadi unatamani kumjibu bro hebu katulie nitakuja kukutongoza mie
Dada usimuusishe Mungu kwenye Uzinzi.Absolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!
Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
😀Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Umejuaje kuwa nimezungumzia uzinzi? Kama unaenda na boksa hadi ofisini huyo si mume?...acha kukaririDada usimuusishe Mungu kwenye Uzinzi.