Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].azotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)

Kweli kabisa mleta maada inabidi ajiangalie huenda anatumia mbinu ambazo wanawake hawazipendi

Mf usiombe ukutane na mwanaume mhaya jamani kha!wanasifa wale watu balaa unamtongoza mwanamke unajimaliza kabisa,unajielezea maisha yako,mipango yako wakati hata bado hajakukubali

Badirikeni,muwe na mbinu flani za kuamsha hisia.
 
Write your reply...mi nikikutongoza usijaribu kunijibu hovyo, utanichukia aisee nitakubadilikia wakati huohuo nitakuponda weeee
kuna demu mmoja nilimtokea akaanza kuleta maneno ya hovyo sijui oooh huna hadhi ya kuwa na mimi,mara ooh we kiazi huna hela,mara aseme mi mchafu nikaoge,yaani tu kuleta dharau niathirike kisaikolojia...nikasema anhaa kumbe hunijui!! nilimporomoshea matusi hadi akaanza kulia,halafu mnyamwezi sina habari wala nini,kila nikimuona namtokea, hadi akaamua kunitunuku kuepusha usumbufu!!kwa hiyo washkaji mademu hawa mda mwingine muwe nnawaletea ukauzu wanajikuta wazuri sana!
 
Ndugu yangu, mimi nipo tofauti kidogo, kuna baadhi ya mambo mwanamke akitaka kubadili juu ya muonekano wangu nitamsikiliza. Lakini kwa mengine " tafadhali asini' push sana" Binafsi napenda kuachia nywele na kuzigharamia nazigharamia.

Na kama kuna sehemu itabidi niziondoe nywele labda nibadili kazi niende jeshini. Na kitu cha namna hiyo, hakipo katika kichwa changu
mkuu una afro kama la Willian wa Chelsea??au
 
Santee sana....na unaexpire vip kwa mfano?[emoji15] [emoji15] ....wao ndo wanaexpire coz at 50 u.b.o.o haufanyi kazi while we una 80 age papa liko gado kinoma....hebu achana nao mfyuu[emoji57] [emoji57] [emoji57]
acha uwongo..!!?
 
Write your reply...mi nikikutongoza usijaribu kunijibu hovyo, utanichukia aisee nitakubadilikia wakati huohuo nitakuponda weeee
kuna demu mmoja nilimtokea akaanza kuleta maneno ya hovyo sijui oooh huna hadhi ya kuwa na mimi,mara ooh we kiazi huna hela,mara aseme mi mchafu nikaoge,yaani tu kuleta dharau niathirike kisaikolojia...nikasema anhaa kumbe hunijui!! nilimporomoshea matusi hadi akaanza kulia,halafu mnyamwezi sina habari wala nini,kila nikimuona namtokea, hadi akaamua kunitunuku kuepusha usumbufu!!kwa hiyo washkaji mademu hawa mda mwingine muwe nnawaletea ukauzu wanajikuta wazuri sana!
Ahaaaahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti we mchafu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Eti eeeh...!!!!
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
 
Mtihani mkubwa ni kumweka mwanamke ashushe guard yake akuruhusu kuingia kwenye ngome yake awe comfortable kukusikiliza umachotaka kumwambia.Wanawake wameumbiwa defence mechamism,kama ilivyo kuku jike mpaka apandwe lazima kuwe na kukimbizana na kukurukakara sasa jike la binaadamu defence mechanism yake ni complex zaidi,wale wenye upungufu wa hii defence mechanism ndo tunawaita malaya.
Lazima umsome mtu kabla ya kum aproach,huwezi ingia tu kichwakichwa hujui mwanamke husika yuko katika hali gani kwa wakati huo,huenda kaamka vibaya,au ana stress zake sasa ukmuingia vibaya ndo unaambulia matusi.

Alafu pia maneno hayauwi,maneno yashombo kwa wanawake nikawaida,na ukishakuwa mtongozaji jiandae kwa jibu lolotez utakalopewa na lisikukatisbe tamaa.
Umeongea point....

Afu sometimes na sisi wanaume tunakosea kitu kimoja. Unakuta mtu anastress za maisha au mapenzi....then ajipi muda wa kurelax kwanza ili awe na free mind....badala yake, anajiingiza kwenye case ya kutongoza mwanamke. Kwa kawaida mwanamke lazima asumbue kidogo kabla ya kukubali au kukataa mtongozo kutoka kwa mwanaume....sasa hilo ndio linakuja kuwa shida kwa mwanaume, hasa mwenye stress, mara nyingi unamkuta huyo mwanaume anashindwa kabisa kuvumilia, pengine akaamua kumtukana au kumpotezea kabisa huyo mwanamke.....yote kwasababu kichwa kimeflot stress.

Wanasaikolojia wanadai kwamba, wanaume tuna akili moja tu, wakiwa na maana ya kwamba huwa atuwezi kuwa na mambo mawili au matatu kichwani kwa wakati mmoja...hivyo ni lazima stress zipeane room, ili tuweze kuwa sawa mentally. Tofauti na hawa viumbe wenzetu, maana wao sio ajabu ukakuta anaongea na simu, anaimba wimbo, anapika na huku anabembeleza mtoto.

Hivyo sometimes tunabidi tutambue nafasi tulionayo, je tuna free mind au lah?. Then ndio tufanye maamuzi ya kutongoza au lah.
 
Back
Top Bottom