Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiiii wewe utaacha watu wasivyae shati za vitenge na wake zao acha hizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwana kapita na kitenge kina mapicha picha ya mushrooms[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Very powerful point...Kwa mtazamo wangu ..naona kinacho matter zaidi kwa mwanamke n vile anavokuona Mara ya kwanza ( first impression) km akiichukulia positive possibility ya kumpata n kubwa. Akichukulia negative hapo kumpata n mtiani ...siamini sana katika ushawishi wa Maneno kwamba ndo unamfanya mwanamke akuelewe ...ukitaka kujua hili linaukweli angalia watu wenye good look,wenye status mfano labda anakaz nzuri n.k ndo wanawapata mademu kiurahisi bila hata ya kusema chochote so kinacho matter zaidi n jinsi mwanamke atakavokuchukulia kwa Mara ya kwanza ndo ita determine km atakukubalia au utachezea cha mbavu.....
Samahan kwa kuingilia mada bosslady...
Ila ningependa kuuliza kuwa hizo zawadi za 'hapa na pale' na outings na credits za kukupigia simu,vyote hivyo alikuwa anavifanya kwa "msaada wa watu wa marekani?"
Ni pesa tu ndio imetumika hapo.
Sio kweli inategemea na mwanaume anajitunza vipi, na vyakula anavyokula. Huwezi amini babu yangu ana 75 years lakini bado anakula vibinti vibichi, while bibi yeye alishachokaHaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mkuu una 50 age na liboro lako kushnei mbona unaniquote while hii comment haikuhusu[emoji23] [emoji23] [emoji15]
Nikawa Kobe nikaenda kutunga sheria upya hahahaha
Thanks mkuuVery powerful point...
Sasa wewe unalazimisha ukubaliwe? Jitafakari sana una matatizo gani yanayokufanya ukataliwe.
Siyo kila mwanamke anatabia kama zako. UKOME KABISAAAAAAAAAA
Haaaa haaaa akimaliza unatabasamu lile la kinafiki kisha unamwambia bye- byeKweli kabisa mleta maada inabidi ajiangalie huenda anatumia mbinu ambazo wanawake hawazipendi
Mf usiombe ukutane na mwanaume mhaya jamani kha!wanasifa wale watu balaa unamtongoza mwanamke unajimaliza kabisa,unajielezea maisha yako,mipango yako wakati hata bado hajakukubali
Badirikeni,muwe na mbinu flani za kuamsha hisia.
Kuna bidada mmoja akiona hela tu wala hangoji kutongozwa anajiangua mwenyeweKuna watu mnatongoza kishamba sana hadi unatamani kumjibu bro hebu katulie nitakuja kukutongoza mie
We mara ya mwisho umetongozwa liniNakuhakikishia mkuu sio kweli
😀😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongera na ukafanikiwa!
dunia ya mapenzi raha sana ukiona mtu anavyojikanyaga mie hufurahi sana
Pesa ndiyo kila kitu au sio?! Ila unashabaha aisee unajua ukiwa na mpunga ma" she" wanakuona kama mgodi yaani.kutongoza mpe hela kwa wadada wa dar na pwani yote na wazuri ndo wanakuwaga hivotu,basi mengine mbwembwe ... mie nawapata fresh kabisaaa na maneno matamu faster unakula mzg
Ooh!...me sikupapenda yaaani[emoji22]Ndiyo mom.. Napaelewaga sana.
Sema maisha yamenitenga na Arusha [emoji25][emoji25]
Hahaha mgeni kule utapata tabu sana kuwazoea.Ooh!...me sikupapenda yaaani[emoji22]
Watu wa kule wana vurugu na matusi
Hahaaa.. Hawa viumbe wanakatisha tamaa ya kuishi sometimesKuna Mwanamke nilimtongoza kwa alivyonijibu ilinibidi nipumzike kutongoza mwezi 1
Sidhani kma kuna neno jipya zaidi ya kutanguliza misimbazi kadhaaha ha ha cute b tupe basi baadhi ya vipande mnavyopendaga kuvisikia
Ooh!...me sikupapenda yaaani[emoji22]
Watu wa kule wana vurugu na matusi