Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Kuna mmoja nilimpenda nikamwomba namba akasema hana simu cha kushangaza rafiki yangu alimuomba namba akapewa siku io io wakawa wanawasiliana jamaa akapiga shoo leo wameachana jamaa lengo lake ilikua kula mzigo na kusepa kwa stairi hii what goes around comes around mpaka leo ananiangalia afu sina shobo mikausho mikali poa wadau najiuliza kila siku mtaendelea kuumizwa aisee karibuni Chuga
 
Sikatai bro lakini wakati mwengine wenzetu wanajifanya wanachagua sana mpaka akifika umri wa miaka 37 anasema bora liende ndio unaona watoto wengi wapo kwa bibi mama yupo mjini sababu alichagua sana anaona mtaani mabinti wameolewa anaanza kusema ooh nimelogwa anajuta kumbe ulichezea muda wako
 
Ndo maana tukishawapata na kugegeda huwa tunawaletea dharau tu.
 
Aina ya wanawake unaoandamana nao inajisadifu (hichi kiswahili sijui kimetokea kwenye oblongata?)

Unakutana na wanawake walio desperate for what you offer. Hivi nimtongoze mwanaume halafu aanze kuact like he is deputy jesus? Im liberal ila hapo sijafika bado.
Mimi huwa sitongozi ila natongozwa na mabinti. Huwa nikiona mtu ananifaa natengeneza ukaribu tu na success rate ni 99%.
 
Aina ya wanawake unaoandamana nao inajisadifu (hichi kiswahili sijui kimetokea kwenye oblongata?)

Unakutana na wanawake walio desperate for what you offer. Hivi nimtongoze mwanaume halafu aanze kuact like he is deputy jesus? Im liberal ila hapo sijafika bado.
Huwa siandamani na wanawake dada....deputy who? Sio desperate its just they know what they want and go for it.
 
Nakukubali vile unafunguka witty.. amini nakuelewaaaa..
Wanaume wengi hii mbinu huwaga zimewakalia kushoto.....lkn itakuwa ubahili!

Hakuna mwanamke atakayekupenda hii dunia kama una mkono wa birika!...mwanamke hata kama analipwa 20m per month na wewe mwanaume unasukuma mkokoteni[emoji23] [emoji23] ..still anataka hela ako!...this is naked truth[emoji15]

Huu ni ukweli mchungu
 
Kuna mmoja nilimpenda nikamwomba namba akasema hana simu cha kushangaza rafiki yangu alimuomba namba akapewa siku io io wakawa wanawasiliana jamaa akapiga shoo leo wameachana jamaa lengo lake ilikua kula mzigo na kusepa kwa stairi hii what goes around comes around mpaka leo ananiangalia afu sina shobo mikausho mikali poa wadau najiuliza kila siku mtaendelea kuumizwa aisee karibuni Chuga


1)Haha kuna demu mmoja nlimuomba namba alinjibu hivyo hivyo kuwa hana simu..sikumtafuta tena na nimeapa hatokaa anione milele..

2) Mwingine nli-plan malengo nae ya mda mrefu nije nimuoe baadae, ila kilichonikimbiza toka kwake ni mizinga mkuu (kuniomba sana pesa), cha kushangaza demu ananipiga mizinga hlf ananiambia nimuoe..k*ma hanipi.. I was like wtf..nikamkimbia

3)Mwingine nlimtongoza, akanikubalia kwa maneno, ila attention hanipi, akiniona ananchukulia poa..hata namba ya CMU yake hakunipa nkamwambia ctakutafta tena Nickson Swai
 
okoyoko, Aisee mkuu kweli yaaani inafikia mahali mwanamke akizidi kuomba ela huyo si mke bali ni binti yako afu sasa wanajuta kama huyo binti anajishtukia afu sirudi nyuma mbele kingine wana wivu sababu akiona amekukataa atamlazimisha na rafiki yake akukate ili ukose wote sababu wote siongei nao na mambo yanakwenda.
 
Aisee mkuu kweli yaaani inafikia mahali mwanamke akizidi kuomba ela huyo si mke bali ni binti yako afu sasa wanajuta kama huyo binti anajishtukia afu sirudi nyuma mbele kingine wana wivu sababu akiona amekukataa atamlazimisha na rafiki yake akukate ili ukose wote sababu wote siongei nao na mambo yanakwenda


Huyo demu alinishangaza sana aisee, OK fine hanipendi ndo maana ananiomba omba hela, why ani-convince nimuoe? Yani nlichokuwa napata ni kuombwa hela kila cku, na k*ma hupewi, nkaona ntafilisika hapa nkatoka mbioooo Nickson Swai
 
Hongera kaka ulifanya maamuzi sahihi man
Huyo demu alinishangaza sana aisee, OK fine hanipendi ndo maana ananiomba omba hela, why ani-convince nimuoe? Yani nlichokuwa napata ni kuombwa hela kila cku, na k*ma hupewi, nkaona ntafilisika hapa nkatoka mbioooo Nickson Swai
 
Hakuna mwanaume duniani anapata k*ma nyingi kirahisi, au anaetongozwa directly na wadada, labda uwe celebrity/maarufu...au an extremely handsome dude who have game grand millenial
Mkuu najua kunielewa ni ngumu ila kama mungu angekuwa na uwezo wa kuamisha sijui niite ni nuksi hii au nakosa jina la kuiita basi aihamishe kutoka kwangu kuja kwako aamin.
Tena wengi huwa ni wana wasela wao kabisa ila tatizo mi si kitomb.....i
 
Back
Top Bottom