Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Kuna mmoja nilimpenda nikamwomba namba akasema hana simu cha kushangaza rafiki yangu alimuomba namba akapewa siku io io wakawa wanawasiliana jamaa akapiga shoo leo wameachana jamaa lengo lake ilikua kula mzigo na kusepa kwa stairi hii what goes around comes around mpaka leo ananiangalia afu sina shobo mikausho mikali poa wadau najiuliza kila siku mtaendelea kuumizwa aisee karibuni Chuga
Man man man una tatizo kubwa mno
 
Nafikiri unajibiwa kulingana na mwenyewe ulivyotaka ujibiwe, i wish mngekuwa wanawake maybe mngeelewa.
 
Mkuu najua kunielewa ni ngumu ila kama mungu angekuwa na uwezo wa kuamisha sijui niite ni nuksi hii au nakosa jina la kuiita basi aihamishe kutoka kwangu kuja kwako aamin.
Tena wengi huwa ni wana wasela wao kabisa ila tatizo mi si kitomb.....i
Huwa unatuchukulia mademu zetu kumbe aiseee,
 
Mkuu daaah
Hii mada imenigusa sana, maana nilikuwa domo zege na vibuti nilikuwa nachezea vibaya mno.

Kuna mtu mmoja alifundisha vizuri sana, namna nzuri ya kuongea na wanawake, jaribu kutengeneza dialogue make her comfortable around you. First impressions matter, usilete topic/maswali yenye "Yes/No". Sio unafika tu, "Dada nimekupenda, naomba namba yako ya simu", akisema hana simu gearbox inakuwa imeingia kokoto.

Kuna manzi nilikuwa nasoma naye chuo, wakishua, halafu ana akili kinoma. Ana jamaa yake ana mpunga kweli kweli. Siku moja nikakutana nae mtaanai, nikamsalim then nikamwabia something simple, "Unajua kila nikikuona huwa najiuliza maswali mengi sana", alipotaka kujua ni maswali gani, nikamwambia "never mind".

Tukabadilishana namba, usiku alikuwa wa kwanza kunipigia (nilitengeneza the need to know, na binadamu hapendi kutojua), anataka ajue ni maswali gani hayo? bahati nzuri sana nilikuwa na safari, tukaongea/chat sana. Actually I was surprised, hakuwa na nyodo kama tulivyokuwa tunadhani; nilivyorudi nikwambia nimekuletea zawadi(uongo mtupu).Zawadi gani, nikamwabia siri yangu, njoo home uchukue, alivyokubali tu, mimi huyo Mwenge vinyago kuchukua zawadi kutoka "Arusha"
The rest is history....

Talk to her about anything without direct requests, mpaka atakapojisikia huru na wewe; Angalia mazingira, unawezaje kumfanya awe comfortable na wewe hapo mlipo?. Kuna demu mmoja nilimpataga kiulaini Mlimani City. Nimekutana nae Mr Price, nikamsalimia, nikajitambulisha [Respectfully]. Then nikamwomba msaada (Point to note: surprisingly wanawake wanapenda sana kutoa msaada), anisaidie kutafuta zawadi nzuri ya birthday ya dada yangu wakati sina dada wala birthday.
Nikawa nimeua ndege watatu kwa jiwe moja

1. Nimetengeneza dialogue without looking like an jerk.
2. Kwa kumuamini na kumpa kazi ya kutafuta zawadi, nimetengeneza trust between us; inaondoa natural defenses za mwanamke
3. Nimeonyesha kwamba I do care (kumtafutia zawadi sister yangu)
The rest is history....

Kuna actions wanawake wanazipenda naturally mfano taking care of children. Siku moja moja toka na vitoto vyako or vya any close relative, approach any lady, lazima moyo wake u-melt; anaanza kumuona baba wa watoto wake wakati wewe ni fisi tu. (Msije anza kuzungusha juani watoto wa ndugu zenu)

Kutongoza ni science. Wanaume tujue wanawake wanatongoza kila siku na kila mtu; how do you stand out? Nini kitamfanya asikusahau wewe? Jifunze, practise, utafanikiwa.
 
Eeeh man ndio mana nikasema wana ile hali ya wivu mfano rafiki yake amekupenda afu yeye amekukataa atasema huyu jamaa muhuni ana mke mfano nipo Arusha lakini Dar home ivyo ataambiwa una mke huko ili kuharibu
Anhaa so alikuzibia dah!
 
Mimi kuna binti nilimtongozaga miaka 3 iliyopita akanichomolea nje kwa dharau,sasa nashangaa mwezi uliopita ananitumia sms hutaki mzigo . Nimemjibu nilikupenda kipindi kile wakati hujazaa ,sasa sipendi used
Hahaha...
 
Eeeh man ndio mana nikasema wana ile hali ya wivu mfano rafiki yake amekupenda afu yeye amekukataa atasema huyu jamaa muhuni ana mke mfano nipo Arusha lakini Dar home ivyo ataambiwa una mke huko ili kuharibu
Wanawake hawaeleweki yani kakukataa afu anaona wivu [emoji23]
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)
Pole pole mama. Utatuulia wanaume wetu wa dar.
 
Jamn wanaume wenzangu ukitaka kupata mwanamke yeyote fanya haya::

» kuwa smart (kuvaa vizur)
» Jiamin hata kama una sura ngumu kaza kama harmorapa
» Hata kama ukipiga swaga akakwambia nina mtu sio kwamba kakataa hapana hilo jibu lina maana hii hapa
* hana bikra
* utongoze kwa akil coz ana mtu.
* au ili usije ona na yeye bwege.

Kinachotakiwa wa tongoza ww kaza lazma utakula tu

» acha maneno mengi kuwa mtu mcheshi na sio wa kujisifiaa (coz atakuomba kitu ambacho huna [emoji23][emoji23][emoji23]

» kuwa mpole hata kama unawenge kwake kuwa msenge[emoji23][emoji23]


Usiogope mwanamke yeyote ww mtokee sio ushamba ni kazi tuliopewa wanaume

Mwishooo

Unapomfwata mwanamke usiangalie mazingira ya pembeni « namaanisha acha wasiwasi coz pale unapokuwa na wasiwasi hapo ndo umepoteza confidence 75%


Kazi kwenu wanaume wenzangu « HAPA HUTOTUMIA HELA NYINGI SANA (guest + chakula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom