Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Kama kawa, kama dawa....
Asili kuacha ni kimbembee....
View: https://youtube.com/shorts/FGKi35ClhvM?si=TYfyZ1TtOMv45IZt
Muonekano hapo juu wa picha unasema yote, mwanamke akiwa juu ya Farasi.... Utaona tuu, hatuliii
Atatikisika tuu kama si mabega basi matiti ama tumbo ama bambataa aahahahahhaa
Sasa ukuwe mwanamke anayejua kujichetua kwatuuu eehehehehee na Farasi aliyepandwa awe anajua mwendo wa madhara.... Bwana weeehhh....
SGR haioni ndani kwa uroda wa safari....😜😜😜.
Ukikuta mwanamke hafurahii au hapendi Kuendesha Farasi, Kuna namna hawakumfanyia vizuri, sijui ila.... Mie nikiulizwa leo vipiii, weeeh Farasi Baba.... Naomba nipande Farasi... Shurti tuu usiwe mvivu....
Na ukiwa na nyamanyama ndo mwake maana mneso wa nyamanyama una raha yake...😋😋😋😋
Alamsiki Wakulungwa.
Ajuza Kasinde bin Platinum 😉.
Mashangazi mnanyege nyie