Raha ya nyumba ndogo



mbona acmbane achukue action aone kama jamaa atamwacha mkewe? haachwi mtu hapo atapewa bla bla miaka inaenda.
 
nadhani cha msingi ni kukabiliana na tatizo si kulikimbia, kuwa na nyumba ndogo ni kujiongezea matatizo kwani utakua hujatatua tatizo na mkeo ila unajiliwaza kwa mda, ni kama mvuta bangi anatoa mawazo kwa mda mfupi ikiisha tatizo palepale, ila kwenda mahali na kupata chupa mbili tatu si mbayas na kurudi home before saa 4 will ease ur stress
 
Nyumba ndogooz ''are the necessary evils''
 
Kwa hiyo zipo na zitakuwepo tupende tusipende?πŸ˜€


hivi nyie wanaume mnaonaga raha gani jamani kuwa na hizo nyumba ndogo? na wadada nao wanakubali tu ku2mia na wazee wenye familia zao, yaani tabu ipo kote kote tu, enzi zile nikitongozwa nikiona kidoleni kuna ring nilikuwa nawabalasia mbali mie...wanini sasa watu na familia zao?
 

Wadada wanasema eti wanaume wenyewe wachache (especially wenye kipato), kwa hiyo inabidi ku-share hivyo hivyo tu, hakuna jinsi! Maana wakiingia kwenye usagaji jamii inawashangaa! πŸ™‚
 
Wadada wanasema eti wanaume wenyewe wachache (especially wenye kipato), kwa hiyo inabidi ku-share hivyo hivyo tu, hakuna jinsi! Maana wakiingia kwenye usagaji jamii inawashangaa! πŸ™‚


wanataka kufika kileleni kabla ya kuanzia chini, nani kawaambia utamkuta man cngle na ana kila kitu cha fahari kama wanavyodhani wao?...wote tumenzia chini kupanda juu ndio mana hao waume zetu wataishilia kuwachezea hao wadada coz wanajua chimbuko lao liliponzia....mwe natamani niwakusanye niwape counselling.
 
Nyumba ndogo ni noma kwa sababu unajenga kibanda, kuchomoa kazi.Ila kupiga nje si mbaya sana, kwani akikuboa unatimua fasta bila lawama yoyote kwa mwanadamu na Mungu anakusamehe.
Ina maana na wewe ukimboa atimue nje fasta?
 
Wadada wanasema eti wanaume wenyewe wachache (especially wenye kipato), kwa hiyo inabidi ku-share hivyo hivyo tu, hakuna jinsi! Maana wakiingia kwenye usagaji jamii inawashangaa! πŸ™‚

hilo lisiwatishe tutaimport frm chine wanaume wamekuwa wengi.....
 

huyo dada anatogwa kichwani kama si machicha, akumbuke jamaa haachi mke wake wa ndoa, na ikitokea akaacha hata yeye ajue kuna siku ataachwa kwa ajili ya jamaa kupata mwingine.

mwanamke useless kweli huyo....

wat goes around comes around!!! mwosha huoshwa.
 
bht mie ctaki, nimecheka mpaka bac...
hahaaaaa sasa kumbe acha niwatoe wasiwasi wenzangu na mie ili wasirukie ndoa za wenyewe mweeeee!!!!

huko uchina men kibao wakosa wasichana wa kuoa wanaoa vibibi, tutafanya negotiation na uhamiaji watusaidie
 


uwiiii.....
 
Hapa kinaendelea nini. Nihabarisheni chapchap nianze kumwaga busara zangu!
 

Kusema ukweli ni mzuri hata mimi mwenyewe huwa namtamani... πŸ™‚
 
...of course nyumba ndogo inapunguza stress kwa kujituma zaidi wakati wa mavituuuuuuuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…