iboyamwaka2020
JF-Expert Member
- Jan 14, 2020
- 725
- 844
Miaka kumi na mbili sasa na watoto wako Secndoa yako ina muda gani?
Haitokaa itokee neverukimchoka na kumuona kama dada yako pia ulete uzi
hongeraMiaka kumi na mbili sasa na watoto wako Sec
Asante wenzangu vipi hii hali haiwatokei?hongera
Ukiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani....ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.....
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
ukikosea kuoa ni kama umepoteza dira ya maisha yako yote ndoa raha mkuu usisikie kwa mtu kama umeoa halafu hujawahi kuambiwa hivyo umeumiaUkiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani....ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.....
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
nimeiona hiyo ya kujichua mkuu hiyo siyo ndoa mke amekuja kwangu kunipa siyo mpaka nimuombe kwani hata kwao mahitaji angepata kasoro tendo la ndoa tu ndo maana mimi nikiingia tu lazima aniulize kama najisikia kula tunda muda huohuo au napumzika kwanzaItakuwa ndoa yako change wewe,au husomi mada humu kuwa kuna wake za watu ikifika usiku wanalala sitting room na mwingine juzi tu katoka kusema kuwa kafikia hatua ya kujichua kutokana na mkewe kumbania...?
Udhi teyariuzi tayari.
Uko possessed wewe, kama hutafunguliwa, hutakaa uwe kwenye ndoa iliyotulia.Ukiona mwanaume anakaa kusifia ndoa au mke wake hadharani excessively ujue huyu jamaa ana vibamia au ana sexual weaknesses humo ndani....ana cover kuhubiri how wonderful their wives are!
Watu wa namna hii,ni kama ndoa wamebahatisha sana,au ni weaker beta males,au ni mpya kwenye ndoa na yupo overwhelmed na new experience.....
Mke wangu this,mke wangu that,mume wangu this,mume wangu that,ndoa yangu vile,ndoa yangu hivi,etc ni very awkward commentaries of which makes people wonder
Wivu gani my dear?ni wivu tu