JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ushindi wa soka raha, hawa ni mashabiki wa Timu ya Simba, wakisheherekea ushindi wa timu yao dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, jana jioni (Novemba 27, 2024).
Sherehe hizo zimefanyika katika Mitaa ya Machomanne, Wilaya ya Chake Chake, Pemba.
Katika mchezo huo, goli pekee la Jean Charles Ahoua dakika ya 27 likifungwa kwa njia ya penati liliipa Simba ushindi wa Goli 1-0 katika mchezo wa Kundi A wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Pia soma ~ Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024
Sherehe hizo zimefanyika katika Mitaa ya Machomanne, Wilaya ya Chake Chake, Pemba.
Katika mchezo huo, goli pekee la Jean Charles Ahoua dakika ya 27 likifungwa kwa njia ya penati liliipa Simba ushindi wa Goli 1-0 katika mchezo wa Kundi A wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Pia soma ~ Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024