Rai kwa Serikali na Bunge: Wanaoambukiza UKIMWI kwa kukusudia wahanisiwe, wapigwe chapa au wadungwe sindano za kutoa mihemuko

Rai kwa Serikali na Bunge: Wanaoambukiza UKIMWI kwa kukusudia wahanisiwe, wapigwe chapa au wadungwe sindano za kutoa mihemuko

sasa mabinti zetu vp ndugu hakuna kujifanya unaongelea habari ya staha njaa mbaya ndugu
Yani kuna watu hawawaheshimu jinsia ya KE kabisa; wanawaona kama mawe tu. Kwani wanawake sio watu? Mie huwa siwaelewe kabisa. Hawana mama? Mashangazi? Mabinamu? Mashemeji? Madada? hao sio watu?
 
kama unatetea tabia hiyo kwa mbali au wewe ni ndo mwenyewe tunayemtafuta? mpaka unasema mbona hakuna mwanafunzi aliyeshitaki una shida fulani
Wanafunzi ni watoto wadogo hawajakomaa kiakili, kudanganywa au kurubuniwa ni kosa kwa kuwa bado hawayajui maisha na hawawezi kuwa na maamuzi ya kikubwa. Sasa ni kosa na ubakaji kutembea na mtoto asiyeweza kujitambua. .
 
Mimi nimependa huyo mke wa mjeda alichofanya tena anaonesha ni mwanamke anayejiheshimu sana. Licha ya kwamba alikuwa ana shida hakuwa tayari kufanya ujinga. Hao wengine wakifata mfano huo inakuwaje? Watakuwa wameokoa jamii inayoumia na kuwasaidia hao wanafunzi lakini hawapazi sauti kulalamika Wala kushtaki hivyo anaona sawa tu.

Wewe hapa ulichoandika ni makisio na hata kamà ni kweli watakaothibitisha kufanyiwa hivyo ni hao wanawake, Je watakuwa tayari kukupa ushirikiano ili akamatwe? Wakiamua kumtetea ili wafiche aibu ya kufanya mapenzi na mtu mwenye HIV utaficha wapi aibu hiyo?

Kuna mtu kapeleka shutuma TAKUKURU au polisi? Je, nawe pia ni mhanga wa udhalishaji huo? Kama sio mhanga ,unaowasemea wamekutuma uwasemee?

Afu kuna mda watu mnakuta mnazungumza kama umelewa
Hivi ukiona jirani yako anafanya mambo ya kifuska na ya kuharibu jamii utaacha kujua
Fikiri kabla hujazungumza
Mie nachukia sana, unakuta hata kitaa kuna wasichana wageni wamekuja, jamaa kashafanya yake
Mie sijamsema kwa maendeleo yake, nimemsema kwa ufuska wa kuambukiza watu UKIMWI

Mie nimejitahidi kwa uwezo wangu kwenda serikali za mitaa, na nimezungumza na mwenyekiti na wajumbe hao nishawafikishia
Na waliogombea ubunge Dodoma wanajulikana, manake nimetaja teyari; na si kwa sabau watu humu ndani watanambia nimtaje, bali kwa sababu sijapenda
Ila nitasema jina lake tu, endapo nitapata kinga ya Raisi na Spika wa Bunge tu; wengine mtaniweka hatiani alafu nikiwa na shida hamtokuja kunishika mkono. .
 
sasa mabinti zetu vp ndugu hakuna kujifanya unaongelea habari ya staha njaa mbaya ndugu

Kuna watu wanazungumza kama hawana ndugu, inawezekana hata mtaani kwao watu kama hao wapo na hawajui. Hata wake zao wanaweza kudanganywa na yeye akajikuta muhanga

SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA
 
Back
Top Bottom