RAI - Nguvu ya Hoja?

RAI - Nguvu ya Hoja?

lakini hawa mafisadi si mlisema wana mtandao mkubwa kwa hao mnaowaita waandishi? hewa fuatlieni mtujulishe na 'mapopo'.

Mtandao wao si kwa waandishi wa habari tu, karibu kila sehemu washaingiza miguu yao, wanazidi kutega
 
Huyu Balile hana udugu na jamaa (mkurugenzi) wa magogoni? kwani isije kuwa hii habari imetungwa kuangalia hali ya hewa?
 
Lunyungu how long does it take kumpigia simu?....Kama huwezi kaa kimya...usipende UJIKO...

This is exactly why nilimwambia piga simu kwanza kabla ya kutoa vi comment vya kuahidi kupiga simu.
 
huyu babile katika editorial column yake ya wiki iliyopita katukana mpaka mtandao huu wa JF!!
 
Nimekupata mkuu, ndio nimemaliza kuyasoma. Nakajua haka kajamaa kwa mbali kalipokuwa na gazeti la Tanzania Daima, lakini sikuwahi kufikiri kuwa kalikuwa na ushawishi wowote (wa maana) katika mambo ya kitaifa. Halafu akawa "mtetezi" wa Lowassa "kiaina" wakati wa Richmond. Sikumbuki walikosana vipi na Mbowe au walishindana tu kimaslahi, ndipo nikasikia yuko kwenye Rai. Ndipo nikadhani kwa habari ya leo, kuondoka (ama kuondolewa) kwake huko kwenye "Rai" ni sawa tu na alivyoondoka (au kuondolewa) kwa Mbowe, au kuna tofauti wakuu? Sijaona tofauti kati yake na yule mwimbaji Waziri Sonyo aliyekuwa anahamahama bendi kila kukicha. Atakaa mtaani kwa muda, utamsikia kesho yuko na gazeti lingine, namwona ni sawa tu na madereva wa daladala za Kiwalani, Manzese au sehemu kama hizo.

Tofauti ya Balile na Waziri Sonyo iko kwenye editorial iliyoandikwa kwenye RAI la wiki iliyopita,na ndio maana kung'olewa kwake kumepewa uzito wa Breaking News kama ilivyokuwa kwa Mbeki au Elmert.Hata Waziri Sonyo akitunga wimbo na kuikashifu JF basi aking'olewa nayo itakuwa Breaking News.
 
rai wameniwahi! baada ya kusoma makala yake kwqenye rai. toleo lililopita, makala ambayo ni chukizo tupu kwa taifa langu, nilikuwa namalizia kumjibu nikiwa hapa tabora, kuwa : SISI KATU HATUTANII DAMU ZETU BADO ZIKIWA ZINAZUBGUKA KWENYE ATERI ZETU, KAMWQE HATUMWACHA FISADI YEYOTE NA KUWADI YEYOTE KAMA YEYE APUMUE, M PAKA HAPO DAMU ZETU ZITAKAPOACHA KUZUNGUKA KWENMYE ATERI .
 
Key board mbovu mnafahamu intaneti za uswahilini kwa mirambo huku. Unabonyeza kizenji mpaka kidole kinauma, nisameheni kwa typing errors. Lakini kila mmoja hapa ni lazima afurahi kuwadi anapokosa mahali pa kukuwadi kama balile
 
leo amepewa barua rasmi ya kusimamishwa, jitihada za kutafuta replacement zimeanza
 
Hajafukuzwa na rai, wala rostam aziz, bali kalmu yake kwa nchya uonevu dhidi ya taifa langu, yenye kuwabeba mafisadi, yenye kuwadidimiza yatima, kwa kuwezesha mafisadi kula chakula chao. Kilio cha yatima, maskini, viwete ndicho kimefika mbele ya haki, kamwe anguko lake ni la mimi kabisaa, na anapswa sasa kutubu
 
Basi asubiri Lowassa atakapoanzisha gazeti lake amchukue kama mhariri wake.
 
Mwanakijiji,

Hata Lowasa ana akili. Mtu akishakuwa anakununua hawezi kukuajiri maana atakuwa anakuona ni kibaraka tu unayejiuza kwa mwenye nazo zaidi!
 
Mkuu unasema hata EL hawezi kumwajiri kwa sababu jamaa tayari ni used sio?
 
Basi asubiri Lowassa atakapoanzisha gazeti lake amchukue kama mhariri wake.
It may be a little bit too late for that kwani Lowassa tayari keshaanzisha magazeti mapya matatu: NYUNDO, TAIFA na UMMA. Yote yana wahariri wake wa aina ya Deodatus Balile: boot lickers! Balile alianza kuendesha hata Vogue ya Rostam, nikaanza kuwa na wasiwasi kuhusu role ya Balile nje ya newsroom! Makubwa, ya Pemba madogo!
Tunaomjua Balile tunaamini kuwa kupanda kwake kulikuwa kwa kasi sana hasa kwa mtu of average intelligence and poor in grammar hata akiandika kwa Kiswahili. Waswahili hunena: maskini akipata, matako hulia mbwata!
 
habari zinasema kuwa kilichofanyika kimsingi ni "tactical retreat"; so atarudi kwa namna moja au nyingine. Someni "Cheche" Jumatano mtajua nini kinaandaliwa na mnaweza kuhisi nafasi ya Balile kattika kufikia lengo hilo.
 
Habari zinazoingia sasa hivi zinadokeza kuwa Mhariri wa gazeti la RAI Bw. Balile ameondolewa wadhifa wake huo. More to come!

hii ni moja kati ya habari njema kuzisikia. hata kama rai limenunuliwa na fisadi huyu alichangia sana kuliharibu!!!

one wonders how can balile wa tanzania daima turn out (for money) into balile wa rai!!
 
Kithuku kama hujui kaa kimya. Sio kila kitu lazima kiwe na interest kwako,hao waliojibu unawaona wapumbavu? Kama unaona kitu hakikufai,angalia mambo mengine.
Simple like that
 
Back
Top Bottom