Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija

Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Takribani raia 14 wa Jordan wameripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wa hija inayoendelea nchini Saudi Arabia. Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudia imethibitisha kuwa vyanzo vya vifo sita ni joto kali linaloendelea nchini humo ambalo kwa sasa linafikia hadi nyuzijoto 48.

Joto hilo limesababisha athari ikiwemo watu kuzimia. Mamlaka yamekuwa yakiwamwagia maji mahujaji katika maeneo ya wazi ili kuwapunguzia athari. Jordan inashirikiana na Saudi kufanya maziko au kusafirisha miili ya waliopoteza maisha kulingana na matakwa ya familia zao.

Habari kwa hisani ya Kitenge TV

1718603610262.png
 
Takribani raia 14 wa Jordan wameripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wa hija inayoendelea nchini Saudi Arabia. Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudia imethibitisha kuwa vyanzo vya vifo sita ni joto kali linaloendelea nchini humo ambalo kwa sasa linafikia hadi nyuzijoto 48.

Joto hilo limesababisha athari ikiwemo watu kuzimia. Mamlaka yamekuwa yakiwamwagia maji mahujaji katika maeneo ya wazi ili kuwapunguzia athari. Jordan inashirikiana na Saudi kufanya maziko au kusafirisha miili ya waliopoteza maisha kulingana na matakwa ya familia zao.

Habari kwa hisani ya Kitenge TV

View attachment 3019165
Wamewatoa kafara,kweli shetani hana rafiki
 
Huko wanakoenda kuhiji ni balaa kila wakati hapakosi kuripotiwa maafa. Kuna wakati yatatoke maafa makubwa ya kuitikisa kwenye ibada hiyo ya sanamu. Mungu hayupo kwenye scam hiyo
sanamu gani wanaliabudu?naunaweza kutuonesha picha yake hilo sanamu nasisitulione?
 
Mkuu, si imesemwa hapo kuwa ni hali ya hewa kubadilika hadi kufikia nyuzi joto 48? Au unayo sababu nyingine?

Kwa asili zetu binadamu huwa tunatofautiana uwezo wa kuhimili kiwango cha juu cha joto kali.

Ova
Niliwaza hilo halafu nikaenda mbali zaidi.Je,ni sehemu waliposimama Wajordan tu ndiyo joto liliwazidi zaidi na kuwaua peke yao?Yani walijitenga na wenzao wa mataifa mengine na walipokuwa ndiyo joto likawazidi hadi kufa?Au Wajordan miili yao haivumilii joto kali kuliko wa mataifa mengine waliokuwa nao huko hijja?
 
Sababu nyingine ya kuprove kuwa Allah hana hizo nguvu wanazomjaza wafuasi wake huko misikitini, bila kusahau yule Mungu wa akina Israel aliyeshindwa vibaya sana dhidi ya wanamgambo wa Hamas.

Dini ni uzushi mtupu
 
Back
Top Bottom