Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija

Raia 14 wa Jordan waripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wakitekeleza Ibada ya Hija

Sipati picha siku waafrika watakapofia huko hijani kwa waarabu itakuwa wamejitakia wenyewe wakafie huko kwa ujinga wao. Waafrika wameelimika lakini bado wanaburuzwa na dini za michongo
 
Takribani raia 14 wa Jordan wameripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wa hija inayoendelea nchini Saudi Arabia. Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudia imethibitisha kuwa vyanzo vya vifo sita ni joto kali linaloendelea nchini humo ambalo kwa sasa linafikia hadi nyuzijoto 48.

Joto hilo limesababisha athari ikiwemo watu kuzimia. Mamlaka yamekuwa yakiwamwagia maji mahujaji katika maeneo ya wazi ili kuwapunguzia athari. Jordan inashirikiana na Saudi kufanya maziko au kusafirisha miili ya waliopoteza maisha kulingana na matakwa ya familia zao.

Habari kwa hisani ya Kitenge TV

View attachment 3019165

NI WAKATI WA KUTOA SADAKA PIA
 
Shetan kawawahi kabla hawajampiga mawe...

Hao waliopotea pengine wamechukuliwa directly na yule punda/farasi chotara burak aliyembeba mudy hadi mbingu ya saba kwa usiku mmoja tu wakati Malaika wa Allah from mbingu ya tatu hadi kufika ya saba kwa speed ya light wanatumia miaka elfu moja kwenda na kirudi elfu moja... This is a mockery cult Muslim religion
 
Shetan kawawahi kabla hawajampiga mawe...

Hao waliopotea pengine wamechukuliwa directly na yule ponda/farasi chotara burak aliyemneba mudy hadi mbingu ya saba kwa usiku mmoja tu wakati Malaika wa Allah from mbingu ya tatu hadi kifika ya saba kwa speed ya light wanatumia miaka elfu moja kwenda na kirudi elfu moja... This is a mockery cult Muslim religion
Hiki ndio kichekesho Cha uislam eti wanampiga shetani kwa mawe
 
Ungejua basi mahujaji wanajisikia fahari sanaa kufia hapo,..hakuna sanamu hapo kama kwny parokia zenu na haujaanza wewe kuponda hijja.
Nikuulize swali maafa yote ulimwenguni hutokea yanawahusu waislam tuu..au nyie kristo ndo anawaokoa si ndio
 
Dini yenyewe scam tupu, upuuzi mtupu wanaabudu ibada ya sanamu Mungu hayupo hapo. Saudia imeingiza mapato makubwa imetoka hiyo.

Dini ni yako ya mungu anayetawazishwa kinyesi na kuvishwa Pampers
 
Sababu nyingine ya kuprove kuwa Allah hana hizo nguvu wanazomjaza wafuasi wake huko misikitini, bila kusahau yule Mungu wa akina Israel aliyeshindwa vibaya sana dhidi ya wanamgambo wa Hamas.

Dini ni uzushi mtupu

Unakubali wewe kuolewa na mwanamume mwenzako ??
 
Takribani raia 14 wa Jordan wameripotiwa kufariki na wengine 17 kupotea wakati wa hija inayoendelea nchini Saudi Arabia. Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudia imethibitisha kuwa vyanzo vya vifo sita ni joto kali linaloendelea nchini humo ambalo kwa sasa linafikia hadi nyuzijoto 48.

Joto hilo limesababisha athari ikiwemo watu kuzimia. Mamlaka yamekuwa yakiwamwagia maji mahujaji katika maeneo ya wazi ili kuwapunguzia athari. Jordan inashirikiana na Saudi kufanya maziko au kusafirisha miili ya waliopoteza maisha kulingana na matakwa ya familia zao.

Habari kwa hisani ya Kitenge TV

View attachment 3019165
Hakuna Ubaya hata wakifa Maelfu kwasababu kufa katika Hija ni jambo jema

yaani kutekeleza nguzo ya imani ni jambo la thawabu na kwa hakika hao Firdaus wataiona wakiwa ni waumin wa Mola mlezi

TAKIBIIIR........!!!
 
Kwa watanzania Hilo joto la 48 ° chamtoto.
Joto la kiuchumi huku nyumbani linakaribia 60.
 
Kufa katika Hija ni thawabu acha Ukafiri wako

In the Book of Ezekiel (Ch, 40-47) , He tells us about a journey had been done for him by the Lord (or an Angel) in his vision...from his description to this journey we can conclude the following points...:


1) The Place and Time:


Ezekiel:


40:1 In the five and twentieth year of our captivity, in the beginning of the year, in the tenth day of the month, in the fourteenth year after that the city was smitten, in the self same day the hand of the LORD was upon me, and brought me thither.


40:2 In the visions of God brought he me into the land of Israel,and set me upon a very high mountain, by which was as the frame of a city on the south.


In these 2 verses Ezekiel detects the time of this journey (in the beginning of the year,in the tenth day of the month)..In fact I am not sure weather this is the ACCURATE Translation of the verse (or of what Ezekiel really meant) or No...but Jews used to use the Lunar months exactly as Muslims..and it's well known that the 10th day of the LAST month is Eid Al Adha during the pilgrimage of Mecca every year...Whatever, I find the similarities between the 2 dates (Eid Al Adha and the Journey of Ezekiel) ..The rest of the story will make it clear though..!


but What about the PLACE?..Well..let's read :


"God brought he me into the land of Israel, and set me upon a very high mountain,by which was as the frame of a city on the south."..


The City is in SOUTH to the Land of Israel, Where it's enclosed by Mountains...What is this City?...Without any doubt Mecca just lies in the south of Land of Israel and it's enclosed by Mountains. .Yet..Further proofs are followed in his description to that place..!
 
Back
Top Bottom