Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

kevin strootman

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
1,114
Reaction score
1,872
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa

Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.

 
Kuna walinzi wengine sijui wanakua ni vichaa wamepewa kazi ya ulinzi sasa kulikua na haja gani ya kumpiga ngumi Kali kiasi hicho kwanini usimsukume kidogo tu pembeni daah mtu ha silaha unampiga kiasi hicho daah
 
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
 
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Mlinzi anatembea na hasira kichwani ,unafikiria kuzungushwa juani hapo unakimbia wanapenda.

Palikuwa hamna haja ya kumshambulia mtu, Ukweli jamaa alionyesha upendo kutaka kushika hata gari iliyobeba mwili wa mpendwa wao
 
Back
Top Bottom