johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tusubiri kauli ya Lema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana sipendagi kiherehere kwa hawa watawala nabaki tu nyumbani kuangalia kwenye tv kama jitu limekufa walizike tu huko wenyewe watajijua lakini Watanzania tunapenda kujitia kiherehere hiyo ndiyo faida yake.Mlinzi anatembea na hasira kichwani ,unafikiria kuzungushwa juani hapo unakimbia wanapenda.
Palikuwa hamna haja ya kumshambulia mtu, Ukweli jamaa alionyesha upendo kutaka kushika hata gari iliyobeba mwili wa mpendwa wao
Afya ya akili na sifa za kijingaHuzuni lakini ni jambo la kuchekesha, kwani mlinzi alikuwa na tatizo gani? Ulevi?
Vijana wa Lema hawatumii viroba siku hizi wamekuwa mdebwedo walishindwaje kumvutia pembeni huyo mlinzi mvuta BangeTusubiri kauli ya Lema
Unakimbilia kuhukumu tu. Hizo viroba vya pombe hawara ya bibi yako wa kambo ndo alimnunulia?Hakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Umeandika ushubwadaHakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Siku mbili hizi tulianza kuaminishwa wema wa Lowasa lakini kwa haya tunaanza kuhisi kuwa labda ndivyo alivyoishi na wanyonge wakati wa uhai wakeInasikitisha Askari huyo kufanya hivyo mbele ya jeneza la Marehemu Mh. Lowassa.
Apewe adhabu au aachishwe kazi.. na walinzi wengine hata kumcheki jamaa.. walimlipie matibabu 100% na pesa za kumjeruhi..
Watu kama wewe pengine mmekulia kwenye familia za kishenzi, ambazo hazina uastaarabu na mtu anapokosea kipigo cha mbwa ndiyo suluhisho. Na mbaya zaidi huna exposure yeyote, umezaliwa na kukulia sehemu moja na hujui dunia ilipo sasa hivi. Unatia huruma.Hakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Very nice comment. Angefanya hivyo lingekuwa jambo la busara. Hili tukio limeniuma sana.Angemsukuma tu ilitosha