Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Mambo ya kishenzi kabisa, angeweza kumsukuma tu na sio kumpiga ngumi ya kichwa. Askari wetu nguvu nyingi akili kidogo, wenye akili wako kwenye magari ndani wamevaa manyota yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona kama kichwa kakisimamisha, mcheki vizuri mzeeInaonekana jamaa kazimia kabisa aisee
Huyu fala alihisi huyo Raia anataka kuiba maiti?Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Waliwaona Wana akili timamuMbona kwenye msiba wa Mwenda zake walitandika hadi Kanga na vitenge barabarani ili gari lipite na hakuna aliepigwa ngumi?? Mi naona huyo kuruta tu ndio kayumba ila jamaa hana kosa
Ingia hapa utaiona.Weka video
Huyo baada ya hicho kipigo Lazima aokoke awe mlokole na Pombe ataacha kabisa Kwa Jina la YesuUnakimbilia kuhukumu tu. Hizo viroba vya pombe hawara ya bibi yako wa kambo ndo alimnunulia?
Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?Ngumi kama imerushwa kizembe ila ukiizoom na kuitafakari inakoelekezwa ni ngumi ya kitaalam sana.
Mlinzi angempiga mtama tu huwezi kulinda maiti kwa kuhatarisha uhai wa wanaopumua
Nchi ya wababe hii ila masikini mwenzangu Lucas mwashambwa siku zote kuwasifiaYaani imekuaje? Fafanua kidogo ni harakati za kuendea msosi au ukorofi tu
Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
The guy is so cruel and heartless naimani Sheria itachukua mkondo wakeMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Mpigaji Yuko vizuri haswahiyo inaitwa Left hook, shabash
Kwahiyo jina la Yesu linamfanya mtu aache pombe baada ya kipigo tu?Huyo baada ya hicho kipigo Lazima aokoke awe mlokole na Pombe ataacha kabisa kwa jina la Yesu