Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Aisee kapiga kama anataka kumuua.
Hii kazi ina laana
Hii kazi ina laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu. Siyo protocal za kijeshi. Ni ulimbukeni tu.Yawezekana ni protokali za kijeshi mkuu.
we umedeal nae kistaarab sana. anaihitaji tusi!Watu kama wewe pengine mmekulia kwenye familia za kishenzi, ambazo hazina uastaarabu na mtu anapokosea kipigo cha mbwa ndiyo suluhisho. Na mbaya zaidi huna exposure yeyote, umezaliwa na kukulia sehemu moja na hujui dunia ilipo sasa hivi. Unatia huruma.
Hahahahaha wakapigwe za uso bora wazulule furahisha kumbukumbu ya Edward LowasaHalafu watu wanalaumu Chadema kwanini wako Mwanza badala ya Arusha 😂
Huwa nawashanga pia watu wanaoshobokea misafara hiyoHakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Utakuta aliyepewa kitasa Ana kadi ya ccm [emoji1]Haa Tunacheka Ila Oops
Chukua tano mkuu. Natamani watanzania wote wangekusikiliza.Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
Hatari sana🤣Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Shisha wanavuta wenye akili na hela. Huyo kavuta bangi tuu.Inasikitisha sana kuona mtu akifanyiwa ukatili wa namna ile. Huyo mlinzi labda huenda ni mvuta shisha.
Nawashanga sana hao watu mafalaHii misiba tuwaachiage wenye fedha tuu ndo wawe wanashiriki
😂😂😂😂Kwakweli ningemtafuta huyo mlinzi nimuongeze bapaUnaweza kukuta aliyechapwa konde ni Lucas
Sisi mitaani tuna misiba kila siku..... Huu sio wa ajabu
Kwahiyo kila aliyepata kipigo aliokoka?Kwa kipigo hicho pombe Lazima aache na kuokoka Lazima ataokoka hicho kipigo kinampeleka msalabani kuungama moja Kwa moja
Hata TV hakuna kuangaliaNdiyo maana sipendagi kiherehere kwa hawa watawala nabaki tu nyumbani kuangalia kwenye tv kama jitu limekufa walizike tu huko wenyewe watajijua lakini Watanzania tunapenda kujitia kiherehere hiyo ndiyo faida yake.
Wako walevi wakorofi aweza toa kisu nk Mlinzi kampa huduma ya kwanza ya ngumi Hadi chini na kuzimia na kuhakikisha Hana Cha kufanya ili yeye aendelee na msafaraAna aibisha taasisi sasa mlevi ndo usukume konde,badala TU ya kumpush TU kidogo.