Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
[emoji16][emoji16][emoji16]mwamba inaonesha mwanzo hapo kuna kamchezo alikuwa anakamalizia.
Ila haihalalishi huo upuuzi alioufanya huyo mlinzi. Matatizo ya kutatua kila tatizo kwa kutumia nguvu ndo hayo.
Hapo kama mtu kashajichokea zake unaishia kumwua na kusababisha kelele zisizo na ulazima, na serikali ilivyojazana watu wa ajabu ajabu inakulinda mwanzo mwisho.
Ila haihalalishi huo upuuzi alioufanya huyo mlinzi. Matatizo ya kutatua kila tatizo kwa kutumia nguvu ndo hayo.
Hapo kama mtu kashajichokea zake unaishia kumwua na kusababisha kelele zisizo na ulazima, na serikali ilivyojazana watu wa ajabu ajabu inakulinda mwanzo mwisho.