Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ukileta fujo au kusababisha vurugu Lazima ukabiliwe vilivyo na kudhibitiwa kwa haraka sana 🐒Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
watu wanaomboleza, wako na majonzi we umepiga visungura vyako kadhaa huko mtaani, unakuja kuleta mzaha kimbelembele na maigizo kwamba wewe ndie mwenye uchungu zadi, ndio hodari wa kulia machozi ya majonzi kuliko wahusika wenyewe 🐒
waliopewa jukumu la kuhakikisha mwili wa mwendazake ENL unafika salama unapotakiwa kufika 🐒
sasa wew unaleta kihedemswede na hayo ndio matokeo yake....
R I P Laigwanan comrade ENL