Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
ukileta fujo au kusababisha vurugu Lazima ukabiliwe vilivyo na kudhibitiwa kwa haraka sana 🐒

watu wanaomboleza, wako na majonzi we umepiga visungura vyako kadhaa huko mtaani, unakuja kuleta mzaha kimbelembele na maigizo kwamba wewe ndie mwenye uchungu zadi, ndio hodari wa kulia machozi ya majonzi kuliko wahusika wenyewe 🐒

waliopewa jukumu la kuhakikisha mwili wa mwendazake ENL unafika salama unapotakiwa kufika 🐒
sasa wew unaleta kihedemswede na hayo ndio matokeo yake....

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Hakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake

Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Wewe mwenyewe umelewa. Huu uandishi ni wa mlevi!

Mlinzi wa amani hastahili kuondoa amani. Hata kama huyo aliyepigwa amelewa kuna namna ya kumwondoa njiani kupisha huo msafara.
Kwenye hili tukio anayeonekana kufanya mambo kilevi ni huyo mlinzi.
 
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa

Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Huyo mlinzi hajui code of ethics ya kazi yake?
Anazidiwa weledi hata na walinzi wa CHADEMA!!!??? Hope mamlaka husika na serikali haitaacha hilo lipite bure.
 
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa

Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937


Ngumi moja ya kawaida hiyo, hivi unadhani kufa ni rahisi tu, nikupe taarifa kufa ni ngumu sio rahisi rahisi hivyo, huyo kataka mwenyewe kupigwa sbb kaenda barabarani kabisa, atajifunza next time
 
Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
Unasimama kwenye msafara wa hayati na kutoa maneno ya kejeri na dharau utapigwa tu
 
mtu akishakufa ana thamani gani?
wanalinda maiti kwamba itaaibiwa au?
Angegongwa na huo msafara akafa ingekuwaje?

Mlinzi kamsaidia kumtandika ngumi kumuepusha gari iliyobeba maiti isimkanyage au gari za msafara nyuma zile ambazo zikiona hatari mbele zinawahi upande wa kulia ku protect gari kuu ya msafara wangemuua Kwa kumgonga

Amshukuru Mlinzi ngumi inatibika awahi tu.hospitali
 
Ndiyo maana sipendagi kiherehere kwa hawa watawala nabaki tu nyumbani kuangalia kwenye tv kama jitu limekufa walizike tu huko wenyewe watajijua lakini Watanzania tunapenda kujitia kiherehere hiyo ndiyo faida yake.
Watakushambulia ila huo ndo ukweli, tumezidi kiherehere, hayo matukio tuwe tunawaachia wenyewe (viongozi na matajiri) washiriki na kumalizana nayo maana kwao sisi si kitu.
 
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa

Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
kila nafsi itaonja umauti kwa wakati wake na kwa namna yake 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Kwenye gari lililobeba mwili wa JPM watu walitandika Kanga, walitandika matawi na kulipungia mikono kwa karibu kabisa bila hekaheka zozote, iweje iwe tofauti kwa aliyekuwa Waziri Mkuu!? Kwa akili ya kawaida nani anaweza kumdhuru marehemu!?
Serikali ichukue hatua
 
ukileta fujo au kusababisha vurugu Lazima ukabiliwe vilivyo na kudhibitiwa kwa haraka sana 🐒

watu wanaomboleza, wako na majonzi we umepiga visingura vyako kadhaa huko mtaani, unakuja kuleta mzaha kimbelembele na maigizo kwamba wewe ndie mwenye uchungu zadi, ndio hodari wa kulia machozi ya majonzi kuliko wahusika wenyewe 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
Sahihi huyo Mlinzi kaweka precedence nzuri kuanzia Sasa wananchi misafara kama hiyo wataiheshimu wakilewa wataambiana wewe chapombe tulia huko usisogee kwenye msafara
 
Back
Top Bottom