Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa bora tu angeenda Mwanza kwenye maandamano kuna usalamaukileta fujo au kusababisha vurugu Lazima ukabiliwe vilivyo na kudhibitiwa kwa haraka sana 🐒
watu wanaomboleza, wako na majonzi we umepiga visingura vyako kadhaa huko mtaani, unakuja kuleta mzaha kimbelembele na maigizo kwamba wewe ndie mwenye uchungu zadi, ndio hodari wa kulia machozi ya majonzi kuliko wahusika wenyewe 🐒
R I P Laigwanan comrade ENL
Ngumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapostahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza EscortNgumi ya komando
Kaondoka watu washaidakaHalafu harakaharaka ile sehemu wameiondoa kweye streaming, uki replay huipati tena
NadhaniKwahiyo Wanyonge hawatakiwi ?
Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Wanyonge vipi tena ?Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Hao mazuzu utakuta wakistaafu wanapata mafao kiduchu halafu wanaanza kulalama na wenzao hawana hata habari nao,hao askari wengi ni kama hawajielewi wakiwa kazini wanafikiri wapo kundi moja na hao watawala kumbe wanatumika tu kama tambala la deki.Kipindi cha jiwe msafara wake ilikuwa mara ya mwisho kupita geita, sasa zile escorts kabla yeye hajapita ilipita cruiser v8 ya wanajeshi ikamfata boda alikuwa anaendesha pembeni ya barabara ikampa kitu, kisha wakashuka kumtizama amesharest in peace walichofanya wakamwita polisi trafic alikuwa pembeni wakamwambia ita gari uondoe huu mzoga, kisha wao wakatoa kipande cha bumper ya mbele kilikuwa kimekatika wakakitupa pembeni ya barabara, kisha hao wakasepa
Sasa huyo boda nadhani alikuwa anampenda sana Magu akamue afe nayeKipindi cha jiwe msafara wake ilikuwa mara ya mwisho kupita geita, sasa zile escorts kabla yeye hajapita ilipita cruiser v8 ya wanajeshi ikamfata boda alikuwa anaendesha pembeni ya barabara ikampa kitu, kisha wakashuka kumtizama amesharest in peace walichofanya wakamwita polisi trafic alikuwa pembeni wakamwambia ita gari uondoe huu mzoga, kisha wao wakatoa kipande cha bumper ya mbele kilikuwa kimekatika wakakitupa pembeni ya barabara, kisha hao wakasepa
TissMkuu Taasisi gani hiyo inayochukua vijana wenye kiwango hicho cha ufaulu?
Japo picha kama video hakunaKumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
Mwombolezaji wa watu tangu jana hajala kwa huzuni sasa yamemkuta ya kumkutaNgumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapistahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza Escort
Yuko fit.mwepesi kupiga na ku maintain position yake bila ku loose position yake at the same time in very short time spidi ya mwewe